Yusuph Kagoma apata jeraha litakalomweka nje ya uwanja

Yusuph Kagoma apata jeraha litakalomweka nje ya uwanja

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Mchezaji mpya aliesajiliwa Simba kwa ajili ya msimu ujao, Yusuph Kagoma amepata majeraha ya mguu yatakayomweka nje ya uwanja kwa miezi kadhaa.

FB_IMG_17223319880143642.jpg
 
Nadhani waungwana tunakoelekea ni kubaya, usimdhihaki mtu kwa kile ambacho hana control nacho!
kuumia ni sawa na kuugua yeyote anaugua muda wowote bila taarifa!
Tusishangilie mtu kupatwa majanga ni dalili ya uchawi na husuda!
Wenzako ndio walianza kuwabeza yanga kuwa wamesajili wazee kwaiyo watakuwa wanaumia ovyo na kukaa nje mda mrefu Sasa uyo ni kijana vipi kaumiaje? Waulize wenzako kwanza
 
Waliosema yanga kasajili wazee wanaumia ovyo Sasa uyo kijana wenu kaumiaje? Mashabiki wa Simba akili zao ni sawa na za kondoo tu!
Injury record ya dube ni mbovu kwahyo watu waseme hasumbuliwi na majeraha ya Mara kwa Mara?

Mashabiki wa yanga vichwa vyao vimejaa nnya!
 
Nadhani waungwana tunakoelekea ni kubaya, usimdhihaki mtu kwa kile ambacho hana control nacho!
kuumia ni sawa na kuugua yeyote anaugua muda wowote bila taarifa!
Tusishangilie mtu kupatwa majanga ni dalili ya uchawi na husuda!
Wee KOLO.Kaa kea kutulia.Wanasema ukienda bola guard wanagawa was tan kwa idadi.
 
😂 😂 😂
Kushabikia soka la Bongo uwe na akili chafu kama Oil iliyotoka kwenye mashine za viwandani
 
Back
Top Bottom