Tisha-TOTO
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 1,175
- 604
Uhuru wa maoni.... Sabodo naye Mhindi kama alivyokuwa Gulamali, Dewji, Bakhresa na wengineo. Mkiugua mnaenda kutibiwa India lakin hapa mnaleta unafiki wenu wa kibaguzi... Manji ameanza leo kujihusisha na Yanga?
Kwasababu nyie mlishaongozwa na Fisadi mwingine wa CCM Mpanda na Bastola majukwaani Bwana Ade Maharage siyo?
Tena ni fisadi lisilokua na aibu,eti thamani ya Okwi ni 2bln????gosh!AKA Alshahab!
Bora Manji wetu ambaye pamoja na ufisadi ni decent tajiri kuliko Adelina Maharage ambaye ni Alshahab, fisadi na mhuni wa Saigon!!
anajisafishia ufisadi wake kupitia mgongo wa yanga, ninavyoipenda yanga, nikisikia jina la huyo mtu huwa nachefuka natamani hata kuhamia simba.
Aina ya jina kweli hu'reflect hali ya mtu,wewe kweli Mzee wa njaa tena siyo ya chakula tu hata ya mawazo,...kugundua madudu yaliyokuwa yanafanywa na waliokuwa wakipokea ufadhili kutoka kwake ni kuifikisha Yanga kwenye hali ngumu,ndo uelewa uliojengewa kule kwenye shule yako ya kata ulipohitimu?
kwa hiyo Yanga hawana dili kwa sababu ya Manji? Kama uko Simba mambo ya Yanga yanakuhusu?Yanga na wanachama wake wote wanamuona Manji kama Mungu wao. Kuna watu wanadiriki humu kusema Manji ataibadilisha Yanga kuwa kama Man City!! Inashangaza sana kwa hili.....Msitegemee makubwa toka kwa huyo Mhindi KOKO. Yanga yeboyebo hawana dili.
Maneno matupu hayavunji mfupa. Manji alikuwepo Yanga tangu zamani, tena alikuwa na nafasi kubwa kuliko anayoitaka sasa ya kuwa Mjumbe wa Baraza la Wadhamini na pia Mfadhili. Tatizo liko wapi leo mpaka muanze kutoa siri za mambo mnayofanyiwa na kina Ade Maharage ya hapo kwenye bold?akili za hao wanaomsapoti manji, na manji mwenyewe, ni kama kuku mwenye kideri....hebu angalia akili zao zilivyo za kutawaliwa na wenye pesa. mwishowe mtaliwa 0713
Kilichobaki ni Yanga na wanachama wake wote kuliwa KIBOGA manake wanamuona Manji kama Mungu wao. Kuna watu wanadiriki humu kusema Manji ataibadilisha Yanga kuwa kama Man City!! Inashangaza sana kwa hili.....Msitegemee makubwa toka kwa huyo Mhindi KOKO. Yanga yeboyebo hawana dili.
Kwani simba na cdm ni dam dam?Mhhh, kwani Yanga na CCM ni damu damu?
Nimesema maji ni fisadi na siyo bakhresa si kila tajiri ni fisadi....kwani manji anacheo gani serikalini, hadi umuite fisadi babu?!! Kama manji fisadi na bakhresa fisadi pia
Na Rage je?.....Ni Fisadi/Mwizi?.......Nimesema maji ni fisadi na siyo bakhresa si kila tajiri ni fisadi....
Nchi hii imejaa wafikiriao kwa Masaburi kama wewe,ulitaka Yanga iendelee kuendeshwa kimaskini ili mechi inayokuja itukute kwenye mgogoro,wachezaji hawajalipwa mishahara yao na element za kuharibiana za ndani kwa ndani ili mtufunge tena?,PERIOD.