Yusuph Mehbub Manji amejiuzulu rasmi Yanga

Jamaa anaonekana kusononeka yaani na hawa jamaa wanavyoogomba vile vyombo vya ulinzi mmm
 
Asante Manji, karibu tena wakati Mwengine, Mungu akurehemu, oya sister pita hapa Nifah
Manji kujiuzulu uenyekiti wa Klabu ya Yanga, nini hatima ya Yanga? [HASHTAG]#manjiniyanga[/HASHTAG] [HASHTAG]#yanganimanji[/HASHTAG]
 
Jamaa anaonekana kusononeka yaani na hawa jamaa wanavyoogomba vile vyombo vya ulinzi mmm
Manji kujiuzulu uenyekiti wa Klabu ya Yanga, nini hatima ya Yanga? [HASHTAG]#manjiniyanga[/HASHTAG] [HASHTAG]#yanganimanji[/HASHTAG]
 
Bora alivyojiuzuru, pamoja ameisaidia yanga kwa miaka mingi.
Lakini alikuwa anasababisha uwepo wa kelele ndani, nakuwepo makundi baadhi ya wajumbe.
 
Manji kujiuzulu uenyekiti wa Klabu ya Yanga, nini hatima ya Yanga? [HASHTAG]#manjiniyanga[/HASHTAG] [HASHTAG]#yanganimanji[/HASHTAG]

No yanga ni taasisi hata ivo kabla ya ku sign deal nono aliwafaa sana, so as long as mpunga umeingia utawasogeza yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…