Yusuph Mlela amtolea mitusi Ney wa mitego kisa Bongo movies kuandamana

Yusuph Mlela amtolea mitusi Ney wa mitego kisa Bongo movies kuandamana

yaani watu kama hawa ndio wanaopata media coverage? No wonder umaskini bado upo nchi hii.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kuandamana kwa bongo movie ni sawa na kulazimisha penzi. Kama hatuwataki hatuwataki tu hata upigane na Zola D
 
Apo ndipo anathibitisha kuwa yeye ni taahira..ngumi za nini sasa
 
Msanii wa filamu nchini Yusuph Mlela amemtusi
rapa Nay wa Mitego kwa kile anachodai kuwa
msanii huyo anapotosha jamii juu ya
maandamano waliofanya baadhi ya wasanii wa
filamu nchini.
View attachment 498667
Yusuph Mlela ambaye kwenye post yake
ameonekana kushindwa kutumia lugha ya staha
huku akionesha kutokwa na povu jingi kutokana
na mapokeo ya mashabiki wa filamu ambao
walio wengi wamekuwa wakiwachana wasanii
hao na kuwataka kufanya kazi zenye ubora.
Rapa Nay wa Mitego alisikika akisema kuwa
baadhi ya wasanii wa filamu ambao
waliandamana ni matahira kwani kitendo cha
wao kutaka filamu za nje zizuiliwe hakina tija na
mantiki yoyote.
Kutokana na jambo hilo, ndipo hapo msanii huyo
alipoamua kushusha ujumbe kwa msanii Nay wa
Mitego

"Nay True Boy wewe jamaa si ulikuwa chocolaa
wewe leo umeyapatia kidogo unasahau kwamba
nyuma yako kuna kundi la vijana wanatamani
kuwa waigizaji\wanamuziki wakubwa....acha
kupotosha jamii yetu Kwa sababu zako binafsi...
sisi wasanii hatujakataza movie za nje. Tunataka
wanaozisambaza wafuate taratibu za kisheria ili
uwiano wa biashara uwepo ndiyo lengo la
maandamano" alisema Mlela
Mbali na hapo msanii huyo pia ameomba
mpambano na Nay wazichape
"Nay wa Mitego acha kutafuta sifa... nakushangaa
kuwa na ufikilivu mdogo kama wewe siyo
msanii...halafu huwezi kufananisha filamu na
muziki..... Wewe si mtoto wa Manzese unajifanya
unajua kupiga ngumi nataka Round 3 tu za boxing
kwenye stage ili Tanzania ijue nani taahira nikutie
adabu..... This is serous coz we mtoto mdogo tu
kwangu nakupa dole la kati kuongea sana tabia za kike
wewe si hip hop na unajiamini njoo uwanjani
chagua popote pale" Yusuph Mlela
View attachment 498668
Jamaa mwenyewe rojo rojo huyu anataka 3 rounds labda alimaanisha rounds za ukutani🙄🙄
 
Mlela punguza hasra. Kuitwa tahra kwel inauma ila be patient my brother.
 
Msanii wa filamu nchini Yusuph Mlela amemtusi
rapa Nay wa Mitego kwa kile anachodai kuwa
msanii huyo anapotosha jamii juu ya
maandamano waliofanya baadhi ya wasanii wa
filamu nchini.
View attachment 498667
Yusuph Mlela ambaye kwenye post yake
ameonekana kushindwa kutumia lugha ya staha
huku akionesha kutokwa na povu jingi kutokana
na mapokeo ya mashabiki wa filamu ambao
walio wengi wamekuwa wakiwachana wasanii
hao na kuwataka kufanya kazi zenye ubora.
Rapa Nay wa Mitego alisikika akisema kuwa
baadhi ya wasanii wa filamu ambao
waliandamana ni matahira kwani kitendo cha
wao kutaka filamu za nje zizuiliwe hakina tija na
mantiki yoyote.
Kutokana na jambo hilo, ndipo hapo msanii huyo
alipoamua kushusha ujumbe kwa msanii Nay wa
Mitego

"Nay True Boy wewe jamaa si ulikuwa chocolaa
wewe leo umeyapatia kidogo unasahau kwamba
nyuma yako kuna kundi la vijana wanatamani
kuwa waigizaji\wanamuziki wakubwa....acha
kupotosha jamii yetu Kwa sababu zako binafsi...
sisi wasanii hatujakataza movie za nje. Tunataka
wanaozisambaza wafuate taratibu za kisheria ili
uwiano wa biashara uwepo ndiyo lengo la
maandamano" alisema Mlela
Mbali na hapo msanii huyo pia ameomba
mpambano na Nay wazichape
"Nay wa Mitego acha kutafuta sifa... nakushangaa
kuwa na ufikilivu mdogo kama wewe siyo
msanii...halafu huwezi kufananisha filamu na
muziki..... Wewe si mtoto wa Manzese unajifanya
unajua kupiga ngumi nataka Round 3 tu za boxing
kwenye stage ili Tanzania ijue nani taahira nikutie
adabu..... This is serous coz we mtoto mdogo tu
kwangu nakupa dole la kati kuongea sana tabia za kike
wewe si hip hop na unajiamini njoo uwanjani
chagua popote pale" Yusuph Mlela
View attachment 498668
Hoja hujibiwa kwa hoja. Ngumi ni kukosa akili ndio maana lazima bongo movie ife kwa mtazamo wa huyu ambae anafikiria kwa kutumia musuli
 
Ney bora akae kimya,huyu yusuph ni mwanaume suruali tu,amuwezi kwa maneno!! Mtu mwenyewe anasukumiwa vyuma Uko nyuma,hizo round tatu anazozisema nahisi ni za kitandani!!
Hahahahaha!!
 
Mlela hilo mnalolitaka haliwezi kufanikiwa, mbona muvi Za kanumba zilikuwa zinanunuliwa? Issue hapa ni kwamba nyinyi wenyewe mmekwishaharibu hii industry, nitakupa mfano Moscow tu, tizama yale maandishi yanayopita chini yanayotafsiri kwa english, ni aibu ya mwaka. Spelling mbovu, grammar mbovu, kila kitu hovyo. Aibu tupu. Hembu kuweni makini na kazi Muone kama hamtaungwa mkono
Ni kweli kabisa yaani zile scripts zinskuwaga na kiingereza kibovuuuuuuuuu. Sijui wamerongwa na nani hawa jamaa.
 
dogo katokwa povu la hatari.... ver unfortunately mabeki 3, hawana insta hawezi pata mashabiki wa kuona hilo povu...!
 
Mlela aje na yule jini wa bongo movie anaye ogopa kugongwa na gari akiwa ameacha mkorogo mwaka mmoja kabla
 
Nilikuwa namuona mlela anabusara! Ngoja nidhani tu hasira haina busara!!!! D D D
 
Tunachokifanya sio ishu chamsingi ni kuwasapoti na kutoa michango yenye kurekebisha wengine ndio njia ya kutafuta rizik hio sasa iweje tuwaite majina ya ajabu kwanini hatupendi vya kwetu na kua pamoja kupeleka mbele mambo ndio Yale Yale ya simba na yanga aaaaagh tuko mbali sana we have to change...
Mkuu suala ni kuwa watoe movie nzur kama za Kanumba au zaidi.

Suala wanalodai ni kweli kuwa biashara iwe balanced.

Lakini kwa kazi wanazotoa hata kama bei ikiwa ndogo kupita za nje bado watapata wateja wachache Sanaa!!!!!!

Wabadirike waendane na soko.

Hawajiulizi kwa nini watu watu wanadownload series za Korea au movie za Ghana au Hollywood kwa gharama kubwa badala ya kununua movie zao????
 
Back
Top Bottom