Yusuph Mlela amtolea mitusi Ney wa mitego kisa Bongo movies kuandamana

Yusuph Mlela amtolea mitusi Ney wa mitego kisa Bongo movies kuandamana

Msanii wa filamu nchini Yusuph Mlela amemtusi
rapa Nay wa Mitego kwa kile anachodai kuwa
msanii huyo anapotosha jamii juu ya
maandamano waliofanya baadhi ya wasanii wa
filamu nchini.
View attachment 498667
Yusuph Mlela ambaye kwenye post yake
ameonekana kushindwa kutumia lugha ya staha
huku akionesha kutokwa na povu jingi kutokana
na mapokeo ya mashabiki wa filamu ambao
walio wengi wamekuwa wakiwachana wasanii
hao na kuwataka kufanya kazi zenye ubora.
Rapa Nay wa Mitego alisikika akisema kuwa
baadhi ya wasanii wa filamu ambao
waliandamana ni matahira kwani kitendo cha
wao kutaka filamu za nje zizuiliwe hakina tija na
mantiki yoyote.
Kutokana na jambo hilo, ndipo hapo msanii huyo
alipoamua kushusha ujumbe kwa msanii Nay wa
Mitego

"Nay True Boy wewe jamaa si ulikuwa chocolaa
wewe leo umeyapatia kidogo unasahau kwamba
nyuma yako kuna kundi la vijana wanatamani
kuwa waigizaji\wanamuziki wakubwa....acha
kupotosha jamii yetu Kwa sababu zako binafsi...
sisi wasanii hatujakataza movie za nje. Tunataka
wanaozisambaza wafuate taratibu za kisheria ili
uwiano wa biashara uwepo ndiyo lengo la
maandamano" alisema Mlela
Mbali na hapo msanii huyo pia ameomba
mpambano na Nay wazichape
"Nay wa Mitego acha kutafuta sifa... nakushangaa
kuwa na ufikilivu mdogo kama wewe siyo
msanii...halafu huwezi kufananisha filamu na
muziki..... Wewe si mtoto wa Manzese unajifanya
unajua kupiga ngumi nataka Round 3 tu za boxing
kwenye stage ili Tanzania ijue nani taahira nikutie
adabu..... This is serous coz we mtoto mdogo tu
kwangu nakupa dole la kati kuongea sana tabia za kike
wewe si hip hop na unajiamini njoo uwanjani
chagua popote pale" Yusuph Mlela
View attachment 498668
Kumbe kuna fursa nyingine ya kujipatia kipato?
Waanze mazoezi ya boxing.
 
Pamoja na bongo movie kuna mdebwedo lakini neema hana lolote
 
Msanii wa filamu nchini Yusuph Mlela amemtusi
rapa Nay wa Mitego kwa kile anachodai kuwa
msanii huyo anapotosha jamii juu ya
maandamano waliofanya baadhi ya wasanii wa
filamu nchini.
View attachment 498667
Yusuph Mlela ambaye kwenye post yake
ameonekana kushindwa kutumia lugha ya staha
huku akionesha kutokwa na povu jingi kutokana
na mapokeo ya mashabiki wa filamu ambao
walio wengi wamekuwa wakiwachana wasanii
hao na kuwataka kufanya kazi zenye ubora.
Rapa Nay wa Mitego alisikika akisema kuwa
baadhi ya wasanii wa filamu ambao
waliandamana ni matahira kwani kitendo cha
wao kutaka filamu za nje zizuiliwe hakina tija na
mantiki yoyote.
Kutokana na jambo hilo, ndipo hapo msanii huyo
alipoamua kushusha ujumbe kwa msanii Nay wa
Mitego

"Nay True Boy wewe jamaa si ulikuwa chocolaa
wewe leo umeyapatia kidogo unasahau kwamba
nyuma yako kuna kundi la vijana wanatamani
kuwa waigizaji\wanamuziki wakubwa....acha
kupotosha jamii yetu Kwa sababu zako binafsi...
sisi wasanii hatujakataza movie za nje. Tunataka
wanaozisambaza wafuate taratibu za kisheria ili
uwiano wa biashara uwepo ndiyo lengo la
maandamano" alisema Mlela
Mbali na hapo msanii huyo pia ameomba
mpambano na Nay wazichape
"Nay wa Mitego acha kutafuta sifa... nakushangaa
kuwa na ufikilivu mdogo kama wewe siyo
msanii...halafu huwezi kufananisha filamu na
muziki..... Wewe si mtoto wa Manzese unajifanya
unajua kupiga ngumi nataka Round 3 tu za boxing
kwenye stage ili Tanzania ijue nani taahira nikutie
adabu..... This is serous coz we mtoto mdogo tu
kwangu nakupa dole la kati kuongea sana tabia za kike
wewe si hip hop na unajiamini njoo uwanjani
chagua popote pale" Yusuph Mlela
View attachment 498668
Mlela hilo mnalolitaka haliwezi kufanikiwa, mbona muvi Za kanumba zilikuwa zinanunuliwa? Issue hapa ni kwamba nyinyi wenyewe mmekwishaharibu hii industry, nitakupa mfano Moscow tu, tizama yale maandishi yanayopita chini yanayotafsiri kwa english, ni aibu ya mwaka. Spelling mbovu, grammar mbovu, kila kitu hovyo. Aibu tupu. Hembu kuweni makini na kazi Muone kama hamtaungwa mkono
 
Hahaha halafu tununue bongo movies wakati Tanzania ya leo filamu tosha.
Wangeona jinsi wenzao wa Bongo Fleva wanavyohangaika kutoa video bora wala wasingehangaika. Hawa wanahangaika kwa kuwa wameshindwa kwenda na wakati na kushindwa kulisha walaji wao. Hivi hawaoni wenzao walivyobadilika? Au wanafikiri mafanikio yanakuja kwa kutumia ubabaishaji?
 
Hao bongo movie walijiharibia wenyewe!
Majitu gani si kipindi cha kampeni au baada yamegeuka kuwa masemaji ya ccm?
Kwahiyo mchana uponde weeee upinzani jioni nikae niangalie movie yenu Nina wazimu?
Ushauri wangu,
Fanyeni kampeni tu kipindi cha uchaguzi kama wenzenu bongo fleva baada ya hapo jikiteni kutengeneza script zenye akili!
Watu wata watazipenda tu!
Sasa juzi kwenye uzinduzi wa hostel pale udsm mulienda kufanya nini?
Jana mnashindwa kumshirikisha mwakyembe mnaenda kwa makonda!
 
Round 3?

Aombe waingie ulingoni kuzichapa kavu kavu, bila sheria wala rounds.
Nimecheka sana hii comment yako maana najua baada ya hapo Kamanda Sirro atapata cha kuzungumza tu kutokana na mtu mwingine kuumizwa sana na sura kupotea[emoji23] [emoji23]
 
Msanii wa filamu nchini Yusuph Mlela amemtusi
rapa Nay wa Mitego kwa kile anachodai kuwa
msanii huyo anapotosha jamii juu ya
maandamano waliofanya baadhi ya wasanii wa
filamu nchini.
View attachment 498667
Yusuph Mlela ambaye kwenye post yake
ameonekana kushindwa kutumia lugha ya staha
huku akionesha kutokwa na povu jingi kutokana
na mapokeo ya mashabiki wa filamu ambao
walio wengi wamekuwa wakiwachana wasanii
hao na kuwataka kufanya kazi zenye ubora.
Rapa Nay wa Mitego alisikika akisema kuwa
baadhi ya wasanii wa filamu ambao
waliandamana ni matahira kwani kitendo cha
wao kutaka filamu za nje zizuiliwe hakina tija na
mantiki yoyote.
Kutokana na jambo hilo, ndipo hapo msanii huyo
alipoamua kushusha ujumbe kwa msanii Nay wa
Mitego

"Nay True Boy wewe jamaa si ulikuwa chocolaa
wewe leo umeyapatia kidogo unasahau kwamba
nyuma yako kuna kundi la vijana wanatamani
kuwa waigizaji\wanamuziki wakubwa....acha
kupotosha jamii yetu Kwa sababu zako binafsi...
sisi wasanii hatujakataza movie za nje. Tunataka
wanaozisambaza wafuate taratibu za kisheria ili
uwiano wa biashara uwepo ndiyo lengo la
maandamano" alisema Mlela
Mbali na hapo msanii huyo pia ameomba
mpambano na Nay wazichape
"Nay wa Mitego acha kutafuta sifa... nakushangaa
kuwa na ufikilivu mdogo kama wewe siyo
msanii...halafu huwezi kufananisha filamu na
muziki..... Wewe si mtoto wa Manzese unajifanya
unajua kupiga ngumi nataka Round 3 tu za boxing
kwenye stage ili Tanzania ijue nani taahira nikutie
adabu..... This is serous coz we mtoto mdogo tu
kwangu nakupa dole la kati kuongea sana tabia za kike
wewe si hip hop na unajiamini njoo uwanjani
chagua popote pale" Yusuph Mlela
View attachment 498668
Yani hapa Mlela amezidi kuonesha utahira wake.

Sasa masuala ya kutaka ngumi ndo nini sasa?

Inaonekana jamaa alikuwa na kinyongo cha muda mrefu na Ney ndio maana ameguswa kidogo tu ameyaongea yote.
 
Nimecheka sana hii comment yako maana najua baada ya hapo Kamanda Sirro atapata cha kuzungumza tu kutokana na mtu mwingine kuumizwa sana na sura kupotea[emoji23] [emoji23]

Sasa wewe ni ugomvi gani unaomba round 3, tena mmevaa gloves.

Kumbuka kila round ni 3 minutes, kwa hiyo eti anaomba wapigane kwa dakika 9!
 
Ney bora akae kimya,huyu yusuph ni mwanaume suruali tu,amuwezi kwa maneno!! Mtu mwenyewe anasukumiwa vyuma Uko nyuma,hizo round tatu anazozisema nahisi ni za kitandani!!
 
Niache kuangali marichuy, kina Ana paula contrera,maria soledad,etc watoto wazuuuri wa kimexican,nitizame bongomovie?.ooh no.

Hiyo ni size za wamama wa nyumbani na mahousegal,
mtu yeyote educated humkuti anaangalia hizo,zama zao zishapita watafute vitu vya kufanya.
 
Mh hapo sasa patamu. Anataka round tatu kavu kavu popote hata chumbani yaani
 
Back
Top Bottom