Yutong/zongtong/Higer and scania buses

Kwa hiyo kuna wabongo wamewekeza kwenye biashara ya mabasi Zambia na SA!
hayo Shalom ni ya Mtanzania na wengine Zimbabwe wanatoa Harare/Johannesburg na Harare/Messina hizo Nchi ni rahisi kuwekeza mkuu abiria wengi wenye kipato na pia mizigo ni mingi inayokwenda mfano Zambia na kodi yao reasonable na mkimalizana boarder basi hakuna Longo Longo tena ndio maana Lusaka na kitwe wafanyabiashara wakubwa wengi ni Watanzania wana Maroli yao ya kupakia mzigo Jozi mpaka Lusaka..,
 
Barabara zenye ziko wapi za hayo ma Yutong. Sie barabara zetu za scania tata etc
 
Kila mtu/mfanyabiashara tunaangalia faida hayo mambo ya sijui scania sijui yutong mara zonghton sijui nini mnasema nyie msio na shekeli.

Wewe ukitaka bus zenye ubora kakope bank na ununue hizo sijui ndiyo irizal v 7i na hiyo tela yake alafu zilete hapa ubungo!!.
 
Kweli kabisa mkuu.
Wabongo tumeanza kuwa na porojo nyingi kama Wakenya. Mimi kuna siku nilimsikia mkenya anasifia zile Gari zao zimechorwa chorwa uchafu. Nikamwambia upuuzi Tanzania aupo
Biashara ya magari ni biashara ngumu sana kuwamudu madereva. Unanunua Scania ya 500 milioni unampa dereva ambaye anakula mirungi, bangi na kila aina ya Madawa ya Kulevya. Ni bora kununua magari ya kichina ambayo ni bei nzuri kuliko kuja kupata hasara
 
Tuwe wa kweli scania wapo vizuri. Lakini mchina anasoma upepo wa soko na uhitaji. Nina uhakika Mchina anaweza akatengeneza magari kama hayo ya Scania lakini shida itakuwa wakuwauzia. Pia ukumbuke hizi fashion mpya za mabasi zinatoka kila siku. Sasa ukikomaa kununua za zamani ndio unajimaliza. Pia mwendo wa mabasi hayo una athari kibiashara. Mchina nae yupo vizuri katika hilo.
 
R̤̈ö̤ö̤ẗ̤ ÿ̤ä̤ d̤̈ä̤r̤̈-m̤̈b̤̈ë̤ÿ̤ä̤ ï̤n̤̈ä̤ẗ̤ë̤g̤̈ë̤m̤̈ë̤ä̤ n̤̈ä̤ ẗ̤ï̤m̤̈ï̤n̤̈g̤̈ s̤̈ö̤m̤̈ë̤ẗ̤ï̤m̤̈ë̤ [emoji682] f̤̈ö̤r̤̈c̤̈ë̤ ẅ̤ä̤ k̤̈ẅ̤ä̤n̤̈z̤̈ä̤ m̤̈ṳ̈d̤̈ä̤ m̤̈ẅ̤ï̤n̤̈g̤̈n̤̈ë̤ ï̤l̤̈ä̤s̤̈ï̤ l̤̈ä̤b̤̈d̤̈ä̤ m̤̈ṳ̈ö̤n̤̈g̤̈ë̤l̤̈ë̤ë̤ r̤̈ö̤ö̤ẗ̤ z̤̈ï̤n̤̈g̤̈n̤̈ë̤
 
Kisbo ni mabasi ambayo ni Scania, Yale magari yako imara sana na yanamudu mwendo kasi na urefu wa safari. Yutong safari ndefu lazima ufungue pale mbele upepo upige la cvyo yanalipuka.
Yaani kuna posts nkizisoma nabaki kucheka tu.

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!
 
kama swala la luxury ndugu yangu umeshapanda zile gari za modern cost ni scania ila ndani ni zaidi ya fast jet kuna zile za nairobi mombasa ni single siti kuna jamaa anaitwa air bus pale nairobi anachonga body wacha kabisa youtong zinasubiri
Tuma picha Mkuu
 
Ila nahisi bei haiwezi kubaki ile ile.
 
Asante Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…