Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
hayo Shalom ni ya Mtanzania na wengine Zimbabwe wanatoa Harare/Johannesburg na Harare/Messina hizo Nchi ni rahisi kuwekeza mkuu abiria wengi wenye kipato na pia mizigo ni mingi inayokwenda mfano Zambia na kodi yao reasonable na mkimalizana boarder basi hakuna Longo Longo tena ndio maana Lusaka na kitwe wafanyabiashara wakubwa wengi ni Watanzania wana Maroli yao ya kupakia mzigo Jozi mpaka Lusaka..,Kwa hiyo kuna wabongo wamewekeza kwenye biashara ya mabasi Zambia na SA!
South Africa yapo sio Africa huko mkuu..,Yale mabasi yawachezi Wa Man u au Madrid mbona Afrika hayapatikani
South Africa,Zimbabwe,Namibia,Botswana na Zambia yapo Grey hound na Intercape wanayo hayo mabasi na katika hizo Nchi wanaenda na Mozambique piaYale mabasi yawachezi Wa Man u au Madrid mbona Afrika hayapatikani
Nitafutie nafasi nije kkusalimia angalau nipige nalo picha MkuuSouth Africa yapo sio Africa huko mkuu..,
Hayatafutwi yapo mengi tuu mtaani..,wewe njoo karibu sana njoo utembee sio basi tuu utaona vingi tuu...Nitafutie nafasi nije kkusalimia angalau nipige nalo picha Mkuu
Mungu Mkuu nimtukufu sana ipo Siku nami nitafika hukoHayatafutwi yapo mengi tuu mtaani..,wewe njoo karibu sana njoo utembee sio basi tuu utaona vingi tuu...
Kweli kabisa mkuu.Kila mtu/mfanyabiashara tunaangalia faida hayo mambo ya sijui scania sijui yutong mara zonghton sijui nini mnasema nyie msio na shekeli.
Wewe ukitaka bus zenye ubora kakope bank na ununue hizo sijui ndiyo irizal v 7i na hiyo tela yake alafu zilete hapa ubungo!!.
Jamaa siku hizi yupo kwenye maloriUmenikumbusha mbali sana Giriki wa Tawaqal alikuwa balaa saa nane mbeya umefika.
Ha ha ha ha ha ha ha ha!!!Hapa umemaliza ubishi,labda sasa niulize humo ndani ya haya mabasi kuna nini ............. ??
Yaani kuna posts nkizisoma nabaki kucheka tu.Kisbo ni mabasi ambayo ni Scania, Yale magari yako imara sana na yanamudu mwendo kasi na urefu wa safari. Yutong safari ndefu lazima ufungue pale mbele upepo upige la cvyo yanalipuka.
Tuma picha Mkuukama swala la luxury ndugu yangu umeshapanda zile gari za modern cost ni scania ila ndani ni zaidi ya fast jet kuna zile za nairobi mombasa ni single siti kuna jamaa anaitwa air bus pale nairobi anachonga body wacha kabisa youtong zinasubiri
Ila nahisi bei haiwezi kubaki ile ile.Mkuu nakuomba ingia Wikipedia, usiingie Google, utakuta option nyingi, ukiingia huko directly tafuta hizo Higer uone. Hao wachina ni kiboko. Tena wameingia ubia wa kitengo cha R&D,kimsingi walishirikiana kutoa Engine na hao Scania. So naamini Wachina wakiamua kutoa kitu kwa matumizi ya Wazungu kinakua cha ukweli mno
Asante MkuuDar express anazo Scania Marcopolo Viaggio 1050 gharama ya bus moja nikama milioni 900 bado ushuru na Kilimanjaro Express anazao pia macropolo za kawaidia katika historia ya mabus Tanzania ni Dar express tu ajawai nunua mchina na kwenye historia yake ameshawai kuwa na bus za scania na mercedez benzi zenye body ya Marcopol,Irzar na Dar Coach Body.Katika biashara kuna na ghari ya gharama nyingi unakaa nayo miaka 10 bila usumbufu na inakupa faida na kurudisha gharama zote ndio biashara nzuri,mabus mengi ya kichina baada ya mda wamiliki ubadili Injini na kuweka ya Scania,Gear Box na Deaf ndio siri watu wasio ijua,chines bus azidumu miaka miwili au mitatu mara nyingi wanabadilisha na kuvika injini ya scania,deaf na gear box hiyo ndio siri wengi awaijui.Nimepita kenya na uganda haya mabus ya kichina sio mengi huko kama huku.Pia kitu cha bei rahisi kina faida na hasara zake.Mfano mzuri mabus mengi ya Higer viti vyake sio rafiki kwa watu warefu,yutong na Zhongtong au Kinglion kidogo viti ni vizuri na pia hizi gari zinachoka sana mapema miaka miwili au mitatu ni mingi.Na mara nyingi mabus ya china yanayotengenezwa kwa soko la ulaya ni tofauti kabisa kiviwango wenzetu wana viwango walivyoweka vya bus liweje la safari fupi au safari ndefu,na ghararama ya hilo bus kwa viwango vya ulaya japo limetengenezwa china gharama zinakuwa kubwa sana karibu na kununua scania,man,volvo,mercedes,nissan,issuzu n.k.
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!Polo haina engine ya Lori. Mkuu wewe ni dereva au mbna umekariri mpka number plate.
Gari gani mbaya hivi kwa ndani?