Z-Anto adai yupo tayari kurudi Tip Top lakini siyo WCB

Hahahahah hebu nicheke mimi kwanzs kabla ya kuchangia kitu
 
Huyu dogo ana ufahari gani kwa sasa kafeli kabla hajarudi kwenye game ajue kuwa gemu limebadilika sauti anazowasifia hao znamchango mdogo sana kwenye mziki wa sasa kama kajifua sauti tu kapotea xana
 

Kweli dunia ina mambo.
 
sijaelewa hapo kwenye mafahari wawili anamaanisha nini?
Usikute kamaanisha yeye na Chibu.

Ila yule bwana alivyo mstaarabu itakuwa tu kachanganya kati ya Ng'ombe na Mbuzi...ilitakiwa tu anayemsikiliza amsahihishe kuwa kwa Mbuzi haitumiki Fahari ni Beberu....kwa hiyo kwa kufupisha stori ni kwamba alimaanisha kuwa Beberu haingii Zizi la Fahari.
 
Ameanza lini comedy....maana hii hata Kingwendu akisoma lazima achanike mbavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…