kila msaniii anatamani.....!Ahahaaa kwel wcb ndio imekua lebo kuu maana kila mtu anajipambanisha nayo. Diamond makali yake km wembe daaah
Apo sasa!Hahaha kwanza uliona wapi swala akalisogelea kundi la simba hhahaa...
Kiboga ama ?. .....Apo sasa!
Labda kama ana hamu ya kuliwa
Kuliwa a.k.a kutafunwa [emoji28][emoji28]Hahaha... Hapo mwisho umesema ana hamu ya kufanywa nini???
Hahaha!Kiboga ama ?. .....
unajua sa hvi ukitaka kua maarfu lazma uwataje WCB sasa hakua na namna ilabd awataje tuHahahaha... jamaa sijui kafkiria nini kusema vile
Hahahahah hebu nicheke mimi kwanzs kabla ya kuchangia kituZ-Anto ni miongoni wa wasanii waliozishika chat za radio na TV mbalimbali za Tanzania miaka kadhaa iliyopita, na waliozunguka karibia kila mkoa kama sio kila wilaya kupiga show kutokana na kuhit sana kwa wakati huo.
Tetesi za Z-Anto kuwa atasaini Wcb zilienea na hatimaye amefunguka kuwa kulikuwa na mazungumzo kati yake na Wcb lakini binafsi yake asingependa kufanya kazi na lebo hiyo kwasababu anaamini mafahali wawili hawakai zizi moja. Amesema pengine ingefaa akirudi Tip top connection alipoondoka zamani lakini siyo kufanya kazi Wcb. Z-Anto akiongea kwenye Planet bongo ya EA Radio kuwa tayari kuna Lebo 5 kubwa Tanzania zinamtaka na moja wapo itamsaini hivi karibuni.
Amesema atarudi soon kwenye game na amewataja Ali kiba na Dully sykes kama wasanii anaoona watampa changamoto kutokana na uwezo wao mkubwa wa sauti, melody na utunzi.
MAONI YANGU
Inawezekana Z.Anto Ni Mmoja kati ya wale Watanzania Wanne...
Hahahaha eti queen darlinsa huyu z anto fahari mwenzie ni nan? au queen darleen maana ndio walikua pamoja enzi hzo
Hakuna kingine zaid ya kick nilishaga msahau kabisa huyo z antoAnyway labda kuna kitu alimaanisha zaidi ya hiki tunachokifkiria
Z-Anto ni miongoni wa wasanii waliozishika chat za radio na TV mbalimbali za Tanzania miaka kadhaa iliyopita, na waliozunguka karibia kila mkoa kama sio kila wilaya kupiga show kutokana na kuhit sana kwa wakati huo.
Tetesi za Z-Anto kuwa atasaini Wcb zilienea na hatimaye amefunguka kuwa kulikuwa na mazungumzo kati yake na Wcb lakini binafsi yake asingependa kufanya kazi na lebo hiyo kwasababu anaamini mafahali wawili hawakai zizi moja. Amesema pengine ingefaa akirudi Tip top connection alipoondoka zamani lakini siyo kufanya kazi Wcb. Z-Anto akiongea kwenye Planet bongo ya EA Radio kuwa tayari kuna Lebo 5 kubwa Tanzania zinamtaka na moja wapo itamsaini hivi karibuni.
Amesema atarudi soon kwenye game na amewataja Ali kiba na Dully sykes kama wasanii anaoona watampa changamoto kutokana na uwezo wao mkubwa wa sauti, melody na utunzi.
MAONI YANGU
Inawezekana Z.Anto Ni Mmoja kati ya wale Watanzania Wanne...
Usikute kamaanisha yeye na Chibu.sijaelewa hapo kwenye mafahari wawili anamaanisha nini?