Z-Anto adai yupo tayari kurudi Tip Top lakini siyo WCB

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaleyale ya GK kwamba hapigi show bongo chini ya million 30,wakati hata million 3 hawezi kulipwa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona kila MTU anaongelea WCB.? Abdu kiba naye nilimsikia
 
Jipange upyaaa mzeeee urud tena
 
Lebo tano kubwa Tanzania zinamtaka!! Kuna recording lable kubwa nyingine zaidi ya WCB bongo.
 
Jf raha sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
ndo nani huyu z-Anto..!? nae anafanya kazi bodi ya mikopo au TCU.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…