STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Z-Anto ni miongoni wa wasanii waliozishika chat za radio na TV mbalimbali za Tanzania miaka kadhaa iliyopita, na waliozunguka karibia kila mkoa kama sio kila wilaya kupiga show kutokana na kuhit sana kwa wakati huo.
Tetesi za Z-Anto kuwa atasaini Wcb zilienea na hatimaye amefunguka kuwa kulikuwa na mazungumzo kati yake na Wcb lakini binafsi yake asingependa kufanya kazi na lebo hiyo kwasababu anaamini mafahali wawili hawakai zizi moja. Amesema pengine ingefaa akirudi Tip top connection alipoondoka zamani lakini siyo kufanya kazi Wcb. Z-Anto akiongea kwenye Planet bongo ya EA Radio kuwa tayari kuna Lebo 5 kubwa Tanzania zinamtaka na moja wapo itamsaini hivi karibuni.
Amesema atarudi soon kwenye game na amewataja Ali kiba na Dully sykes kama wasanii anaoona watampa changamoto kutokana na uwezo wao mkubwa wa sauti, melody na utunzi.
MAONI YANGU
Inawezekana Z.Anto Ni Mmoja kati ya wale Watanzania Wanne...
Tetesi za Z-Anto kuwa atasaini Wcb zilienea na hatimaye amefunguka kuwa kulikuwa na mazungumzo kati yake na Wcb lakini binafsi yake asingependa kufanya kazi na lebo hiyo kwasababu anaamini mafahali wawili hawakai zizi moja. Amesema pengine ingefaa akirudi Tip top connection alipoondoka zamani lakini siyo kufanya kazi Wcb. Z-Anto akiongea kwenye Planet bongo ya EA Radio kuwa tayari kuna Lebo 5 kubwa Tanzania zinamtaka na moja wapo itamsaini hivi karibuni.
Amesema atarudi soon kwenye game na amewataja Ali kiba na Dully sykes kama wasanii anaoona watampa changamoto kutokana na uwezo wao mkubwa wa sauti, melody na utunzi.
MAONI YANGU
Inawezekana Z.Anto Ni Mmoja kati ya wale Watanzania Wanne...