Z-Anto adai yupo tayari kurudi Tip Top lakini siyo WCB

Z-Anto adai yupo tayari kurudi Tip Top lakini siyo WCB

Aisee nahisi nimefeli kwenye somo la kiswahili
Hahaha
Yani mfano kama wewe apo unavyokulaga chakula alafu ukatafuna vile. . .
Sasa pale chakula ndo 'mtendwa' manake analiwa
 
Z-Anto ni miongoni wa wasanii waliozishika chat za radio na TV mbalimbali za Tanzania miaka kadhaa iliyopita, na waliozunguka karibia kila mkoa kama sio kila wilaya kupiga show kutokana na kuhit sana kwa wakati huo.

Tetesi za Z-Anto kuwa atasaini Wcb zilienea na hatimaye amefunguka kuwa kulikuwa na mazungumzo kati yake na Wcb lakini binafsi yake asingependa kufanya kazi na lebo hiyo kwasababu anaamini mafahali wawili hawakai zizi moja. Amesema pengine ingefaa akirudi Tip top connection alipoondoka zamani lakini siyo kufanya kazi Wcb. Z-Anto akiongea kwenye Planet bongo ya EA Radio kuwa tayari kuna Lebo 5 kubwa Tanzania zinamtaka na moja wapo itamsaini hivi karibuni.

Amesema atarudi soon kwenye game na amewataja Ali kiba na Dully sykes kama wasanii anaoona watampa changamoto kutokana na uwezo wao mkubwa wa sauti, melody na utunzi.

MAONI YANGU
Inawezekana Z.Anto Ni Mmoja kati ya wale Watanzania Wanne...
Yule demu wake kwenye ile video ya binti kiziwi bado yupo nae?
 
Hahaha
Yani mfano kama wewe apo unavyokulaga chakula alafu ukatafuna vile. . .
Sasa pale chakula ndo 'mtendwa' manake analiwa
Anhaa, nilifikiri kutafuna kule kwa aina nyingine hahaha
 
Z Anto ni geneous, Big up sana bro, wcb michosho tu na kutiana njaa
 
Back
Top Bottom