Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaAisee nahisi nimefeli kwenye somo la kiswahili
Acha kumfananisha King na Vitu vya kijinga jinga.Kiba nae alianza Ivo ivo
Yule demu wake kwenye ile video ya binti kiziwi bado yupo nae?Z-Anto ni miongoni wa wasanii waliozishika chat za radio na TV mbalimbali za Tanzania miaka kadhaa iliyopita, na waliozunguka karibia kila mkoa kama sio kila wilaya kupiga show kutokana na kuhit sana kwa wakati huo.
Tetesi za Z-Anto kuwa atasaini Wcb zilienea na hatimaye amefunguka kuwa kulikuwa na mazungumzo kati yake na Wcb lakini binafsi yake asingependa kufanya kazi na lebo hiyo kwasababu anaamini mafahali wawili hawakai zizi moja. Amesema pengine ingefaa akirudi Tip top connection alipoondoka zamani lakini siyo kufanya kazi Wcb. Z-Anto akiongea kwenye Planet bongo ya EA Radio kuwa tayari kuna Lebo 5 kubwa Tanzania zinamtaka na moja wapo itamsaini hivi karibuni.
Amesema atarudi soon kwenye game na amewataja Ali kiba na Dully sykes kama wasanii anaoona watampa changamoto kutokana na uwezo wao mkubwa wa sauti, melody na utunzi.
MAONI YANGU
Inawezekana Z.Anto Ni Mmoja kati ya wale Watanzania Wanne...
Mkuu nitumie hiyo avatar yako pm basi nimeipenda kinomaWasanii wengi wa bongo fleva hawawez kujishusha na kukubali kushindwa pale wanaposhindwa
ahahhah sasa na wewe ukiitumia huoni kama tutawachanganya watu??Mkuu nitumie hiyo avatar yako pm basi nimeipenda kinoma
Unanitumia pm mkuu mimi siiwekii kama avatar bali ni kwa matumizi yangu faraghaahahhah sasa na wewe ukiitumia huoni kama tutawachanganya watu??
umenichekesha master, take 5Pale panya anapojifananisha na simba