kumbe pale wapemba walivyo sema ni kweli kuwa wanataka kisiwa chao kijitenge nainga mkono wapemba wajitenge imekuwa sasa ni kibri cha watu wa unguja kujiona sana na kisiwa chao wakati utajiri wote walio wahi kuwa nao unatoka pemba hata hayo mafuta pia yako pemba nawaombea ukimbizi waende pemba hakuna biguza wao ni wenzenu lakini kumbukeni akina karume na hao wanao fanya njama hizo kuwa na wao sio kwao karume kazaliwa malawi na yeye hao watoto wake na wajukuu zake nao watafute kwao hili leo kwa wacomoro kesho kwa wabara wanao tumiwa kuja kujiandikisha znz na wao yatawakuta hayo