Za chinichini wasaf BET ni ya wakenya, anakula kamisheni

Ila jirani zetu kwa fursa tu hawajambo🙌🙌🙌
 
Hata ingekua ya wamalawi dogo anahisa na mpunga anapata,brand yke ndio inampa pesa..nani kwa umri wake amepata uwezo wa kiuchumi kma yeye...domo mtu mbadi
 
Mbona hili tulishaliongea
 
Its either two wakenya au wanaijeria. Hata Okocha ameshare na waturuki kampuni ya betting huko naijeria.

Ili mradi anapata commission yake haina kwere. Hawa tunaowaita wawekezaji wazawa ukitaka kupata picha yao kamili ongea na wafanyakazi wao waliowaajiri ndio utajua matajiri kweli au wanaigiza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…