Za chinichini wasaf BET ni ya wakenya, anakula kamisheni

Za chinichini wasaf BET ni ya wakenya, anakula kamisheni

Ila jirani zetu kwa fursa tu hawajambo🙌🙌🙌
 
Ndo ukweli, I kwamba ni yake kwa asilimia 100, sema hawasemagi ukweli, c angesema ameingia ubia na kampuni ya Kenya kwani Nini mbaya. Hongera kwa platinum, Ila natafuta karanga zako na pafyum mtaani sizioni. Imperial Kenya karibuni muwekeze Rais kashafungua njia, muue kabisa na makampuni yetu ya ndani ya wazawa
Hata ingekua ya wamalawi dogo anahisa na mpunga anapata,brand yke ndio inampa pesa..nani kwa umri wake amepata uwezo wa kiuchumi kma yeye...domo mtu mbadi
 
Ndo ukweli, I kwamba ni yake kwa asilimia 100, sema hawasemagi ukweli, c angesema ameingia ubia na kampuni ya Kenya kwani Nini mbaya. Hongera kwa platinum, Ila natafuta karanga zako na pafyum mtaani sizioni. Imperial Kenya karibuni muwekeze Rais kashafungua njia, muue kabisa na makampuni yetu ya ndani ya wazawa
Mbona hili tulishaliongea
 
Its either two wakenya au wanaijeria. Hata Okocha ameshare na waturuki kampuni ya betting huko naijeria.

Ili mradi anapata commission yake haina kwere. Hawa tunaowaita wawekezaji wazawa ukitaka kupata picha yao kamili ongea na wafanyakazi wao waliowaajiri ndio utajua matajiri kweli au wanaigiza.
 
Back
Top Bottom