Aramun
JF-Expert Member
- Nov 8, 2023
- 461
- 2,213
Ahabu - mke 1
Herode - mke 1
Anania - mke 1
Pontio Pilato - mke 1
Yeroboamu - mke 1
Nebukadreza. - mke 1
Hamani - mke 1
Herode - mke 1
Anania - mke 1
Pontio Pilato - mke 1
Yeroboamu - mke 1
Nebukadreza. - mke 1
Hamani - mke 1
Na wote walipotea njia na kumsaliti Mungu.
1. Ibrahimu - wake 2
2. Yakobo - wake 4
3. Daudi - wake 4
4. Sulemani - wake 700
5. Rehoboamu - wake 18
6. Abiya - wake 14
7. Elikana - wake 2
8. Lameki - wake 2
2. Yakobo - wake 4
3. Daudi - wake 4
4. Sulemani - wake 700
5. Rehoboamu - wake 18
6. Abiya - wake 14
7. Elikana - wake 2
8. Lameki - wake 2
Na wote wakapata kibali machoni pa Bwana.
Lakini wachungaji wanatuambia kuwa kuoa wake wawili ni dhambi kwa Mungu.
Something somewhere is not right.