Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
- Thread starter
- #61
Utopolo kwenye ubora wakoMAKOLO BANAAA!KWELI MBUMBUMBU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utopolo kwenye ubora wakoMAKOLO BANAAA!KWELI MBUMBUMBU
Au sioInanyweka kabisa hii, tena taaratibu ukiwa unapunga upepo pale pembezoni mwa Bandari Salama huku ukishuhudia inavyonadia kwa tashwishwi za kila aina...
Nani kakwambia huyu ni mrangi? Huyu na Karia dugu moja kutoka Mogadishu.Hapo Kongwa ni sawa na Bashe kule Nzega au Rage kule Tabora.Kumbe jamaa ni mrangi wa kongwa
Huwa nawachukuliaga poa sana warangi na mara zote nawawekaga daraja la chini mno mpaka nilipokutana na huyu jamaa nikalazimika kuwapandisha daraja
AiseeeeNani kakwambia huyu ni mrangi? Huyu na Karia dugu moja kutoka Mogadishu.Hapo Kongwa ni sawa na Bashe kule Nzega au Rage kule Tabora.
Sasa umeamua kutudanganya.Taarifa rasmi dau halijawekwa wazi,wewe unakuja na hadithi za 270M270m ila zitalipwa kwa awamu mbili 150m na 120m.
Jamaa wanadhan km akiondoka kwa pesa mingi ndio heshima kwa klabu hawajui kila kitu ni makubaliano tu hata km kaondoka bure heshima ya uto ipo palepaleSasa umeamua kutudanganya.Taarifa rasmi dau halijawekwa wazi,wewe unakuja na hadithi za 270M
Linaweza likawa sio wazi kwako ila kwangu lipo wazi na sikulazimishi kukubali nilicho kiandika.Sasa umeamua kutudanganya.Taarifa rasmi dau halijawekwa wazi,wewe unakuja na hadithi za 270M
Pole sana mnamaLinaweza likawa sio wazi kwako ila kwangu lipo wazi na sikulazimishi kukubali nilicho kiandika.
Doh kishapu tena,Sahih
Kongwa ni kwa kina ndugai
Huo eng, anapaswa kwenda kwa warangi huko kishapu
Unapajua???Doh kishapu tena,
Swa mnama.Pole sana mnama
Unataka tufanye nin ili ujue tunakazi ya kufanya
SahihMaumivu hayo mkuu , mpotezee
Unashindaga kijiwe gani cha kahawa hapa Mjini?Baada ya Bi Mkubwa kutoa tamko kuhusu Mtoto ilibid wananchi wawasiliane fasta na Mtoto wamwambie km vp ktk zile m110 ulizoleta ongeza 40m ili itimie 150m mambo yaishe.
Jibu la dogo akawaambia amechoma pesa mingi kwa mawakil+wapambe pamoja na gharama za kujikim ukizingatia hana mishe amebakiwa na 70m km wanataka wachukue la wakomae aende cas.
Jamaa wakamaind wakamwambia acha kudekadeka dogo au kwa vile umemsikia bi Mkubwa kaongea vile ndio unakaza?
Mawasiliano yakakata.
Taarifa zikamfikia boss kubwa Ghaarib na km unavyojua wafanyabiashara ni watu wa kusaka fursa kwa hiyo boss kubwa ameona aonyeshe utii kwa bi Mkubwa kwa sabab huko ndiko kulikojaa fursa.
Dogo akaambiwa atoe alichokua nacho ili kuvunja mkataba na haruusiw kuliongelea hili popote pale ili kulinda hadhi ya taasis kubwa isijeonekana imeufyata na akaanze maisha mapya.
Dogo akatoa simu ili kuwasiliana na sponsa atume mpunga kwa jamaa na kusain nyaraka zilizoandikwa kwa kiswahili ili kusiwe na malalamiko kwamba hajaelewa lugha.
Mtoto anakula 22m kwa mwez gari+nyumba kali na usafir wa kwenda unguja kila siku ticket ya kwenda na kurudi.
kaambiwa aorodheshe majina ya ndugu zake 50 wa kiwango cha elimu chochote hata km elimu ya mtaa hadi uprofesa watapewa ajira ktk makampun ya SSB
Kwa ofa hii angeanzaje kukataa kujilipua
Aliyewapa somo kuhusu vijiwe vya kahawa aliwafundisha vzr kwelUnashindaga kijiwe gani cha kahawa hapa Mjini?
Na tunamsubiri aje aangukie pua ..kongwa haimtakiEng hers aelekeze nguvu Sasa Kwenda kugombea ubunge kongwa 2025
Mana anatokea Kata ya chamkoroma
Yeye sio mgogo..kwao njoge hukoKongwa wanatoka Wagogo, kina Ndugai
Wewe ni kolo tu kama Makolo wengine, hata kama kasajiliwa bure wewe inakuhusu nini ?Baada ya Bi Mkubwa kutoa tamko kuhusu Mtoto ilibid wananchi wawasiliane fasta na Mtoto wamwambie km vp ktk zile m110 ulizoleta ongeza 40m ili itimie 150m mambo yaishe.
Jibu la dogo akawaambia amechoma pesa mingi kwa mawakil+wapambe pamoja na gharama za kujikim ukizingatia hana mishe amebakiwa na 70m km wanataka wachukue la wakomae aende cas.
Jamaa wakamaind wakamwambia acha kudekadeka dogo au kwa vile umemsikia bi Mkubwa kaongea vile ndio unakaza?
Mawasiliano yakakata.
Taarifa zikamfikia boss kubwa Ghaarib na km unavyojua wafanyabiashara ni watu wa kusaka fursa kwa hiyo boss kubwa ameona aonyeshe utii kwa bi Mkubwa kwa sabab huko ndiko kulikojaa fursa.
Dogo akaambiwa atoe alichokua nacho ili kuvunja mkataba na haruusiw kuliongelea hili popote pale ili kulinda hadhi ya taasis kubwa isijeonekana imeufyata na akaanze maisha mapya.
Dogo akatoa simu ili kuwasiliana na sponsa atume mpunga kwa jamaa na kusain nyaraka zilizoandikwa kwa kiswahili ili kusiwe na malalamiko kwamba hajaelewa lugha.
Mtoto anakula 22m kwa mwez gari+nyumba kali na usafir wa kwenda unguja kila siku ticket ya kwenda na kurudi.
kaambiwa aorodheshe majina ya ndugu zake 50 wa kiwango cha elimu chochote hata km elimu ya mtaa hadi uprofesa watapewa ajira ktk makampun ya SSB
Kwa ofa hii angeanzaje kukataa kujilipua
Umeandika upumbavuuuu!Baada ya Bi Mkubwa kutoa tamko kuhusu Mtoto ilibid wananchi wawasiliane fasta na Mtoto wamwambie km vp ktk zile m110 ulizoleta ongeza 40m ili itimie 150m mambo yaishe.
Jibu la dogo akawaambia amechoma pesa mingi kwa mawakil+wapambe pamoja na gharama za kujikim ukizingatia hana mishe amebakiwa na 70m km wanataka wachukue la wakomae aende cas.
Jamaa wakamaind wakamwambia acha kudekadeka dogo au kwa vile umemsikia bi Mkubwa kaongea vile ndio unakaza?
Mawasiliano yakakata.
Taarifa zikamfikia boss kubwa Ghaarib na km unavyojua wafanyabiashara ni watu wa kusaka fursa kwa hiyo boss kubwa ameona aonyeshe utii kwa bi Mkubwa kwa sabab huko ndiko kulikojaa fursa.
Dogo akaambiwa atoe alichokua nacho ili kuvunja mkataba na haruusiw kuliongelea hili popote pale ili kulinda hadhi ya taasis kubwa isijeonekana imeufyata na akaanze maisha mapya.
Dogo akatoa simu ili kuwasiliana na sponsa atume mpunga kwa jamaa na kusain nyaraka zilizoandikwa kwa kiswahili ili kusiwe na malalamiko kwamba hajaelewa lugha.
Mtoto anakula 22m kwa mwez gari+nyumba kali na usafir wa kwenda unguja kila siku ticket ya kwenda na kurudi.
kaambiwa aorodheshe majina ya ndugu zake 50 wa kiwango cha elimu chochote hata km elimu ya mtaa hadi uprofesa watapewa ajira ktk makampun ya SSB
Kwa ofa hii angeanzaje kukataa kujilipua
Mmeanza kumkataa mkijua yeye mkagulu ,Sasa GSM chini ya msoga gang itawaletea huyu yule dogo wa hazina anazinguaYeye sio mgogo..kwao njoge huko