Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,595
- 3,670
Wadau nina uwezo ya kupata zabibu za kutosha hata kufika kiasi cha tani 1 kutoka Dodoma ila tatizo sijajua wapi naweza pata soko la uhakika
Kama kuna mtu ni mdau au anamjua mtu yeyote anaenunua zabibu kwa hapa Dar basi naomba anijulishe anaweza kuchukua kwa bei gani ili tuweze kufanya biashara
Natanguliza shukrani.
Kama kuna mtu ni mdau au anamjua mtu yeyote anaenunua zabibu kwa hapa Dar basi naomba anijulishe anaweza kuchukua kwa bei gani ili tuweze kufanya biashara
Natanguliza shukrani.