Zabron singers kwenye sherehe za kumuapisha Ruto

Wengine wnapenda kuwaalika wale wakata mauno, wanaimba mambo hata hayaeleweki
Kwenye kmpn wanawambia watu rusha mikono juu ,sijui sema oyoooo
Mara inamaa nkuchomeke gdmit

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Wanarikiwe sana hawa wanakwaya walahi, maana nyimbo zao zinatubariki sana walahi
 
Huko kwa Wageni nchini Kenya wamekubalika, ila usishangae kusikia huku Kwetu Tanzania si tu hawakubaliki bali wanaonekana Kituko pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…