Zabron Singers - Mkono wa bwana

“Nakutuma wimbo uende kwa yule” bonge moja la wimbo na ule wa wedding ule sweetie sweetie
Hawa jamaaa wanamtumzi mzuri kweliii
Wana nyimbo amabzo ukiskiza unasema mtunzi alituliza akili na akaomba Mungu.

Kuna nyimbo Kama imenigharimu, mkono wa bwana, Sabato, Tenda Tena, Salimia watu, Yupo Popote.
Yaaani si mchezo....
 
Huo wimbo unapenda mpaka na waislamu kiufupi ni wimbo unaopendwa na watu wengi.Nakumbuka kuna mwamba wakati tupo darasani ( chuo ) aliweka Huu wimbo kama ringtone bahati mbaya simu yake hakuweka silent alafu lecture yupo class wimbo ukaanza kuiita tukaanza kumcheki msela huku tunacheza kwakutingisha kichwa, lecture akamwita jamaa wa yule mwenye mwiito wa huo wimbo akamwambia nikimaliza kufundisha hapa naomba unirushie huo wimbo kwenye simu yangu dah! Tulicheka tulidhani msela atapigwa pini na lecture
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…