Na vikombe vya kununua vya Yanga vipo humo humo. Sijui vingapi?????
Mbona Ktk Simba Uwekundu Wa Mafanikio UMETAWALA Lakini Upande Wa Yanga Uwekundu Wa Mafaniko Ni Wa Kuhesabu? Simba Oyeee!
Magoli ya Msuva nayo ni yakununua......!
Magoli yake yamemtia uchizi Huyo Hans Popo wenu.... hata akashauriwa na mke wake eti amsajili Msuva kwa milion 70/= wakati thamani yake ni milion 750/=.
Huu ndo ukweli, kama hawataki, wasubiri ya Tunisia kusikonunulika.Kwa miaka 3 sasa nchi imekosa mwakilishi mwenye hadhi ya kufika fainali CAF. Tusubiri mpaka kidume wa Yanga atakapoamua. Makombe ya kununua tumeyachoka ndio maana wakikutana na Simba asiyenunulika wanachapwa tu.
eti outdated Swahili............mweee,,....unawashwa kinyeo wewe
Kwa miaka 3 sasa nchi imekosa mwakilishi mwenye hadhi ya kufika fainali CAF. Tusubiri mpaka kidume wa Yanga atakapoamua. Makombe ya kununua tumeyachoka ndio maana wakikutana na Simba asiyenunulika wanachapwa tu.
Huu ndo ukweli, kama hawataki, wasubiri ya Tunisia kusikonunulika.
Kwa miaka 3 sasa nchi imekosa mwakilishi mwenye hadhi ya kufika fainali CAF. Tusubiri mpaka kidume wa Yanga atakapoamua. Makombe ya kununua tumeyachoka ndio maana wakikutana na Simba asiyenunulika wanachapwa tu.
Simba alinunulika kwa mbeya city*2 kagera sugar stand,liboro nk
Bunge lao juzi lilijadili uwezekano wa kutafasiri katiba yao iwe kwenye Lugha ya Kiswahili.....!
1li wakenaya wengi waweze kuelewa kilichopo kwenye katiba.. Leo hii huyu Nyang'au mweusi anakuambia kiko outdated....!
Nasikia mnataka kumnunua Msuva... basi this time mtanunulika na nyinyi ili mpate fedha za kulipa MISHAHARA wachezaji wenu.
Na muongezee kwenye ile million 50 ili ifike Million 700 za kununua Msuva.
Maximo pamoja na mbwembwe zote alifukuzwa kwa sababu gani?Hamjaamua kuchukua ubingwa....?
Ebu sema tena nisikie vizuri....!
Mpaka sasa mmefukuza makocha zaid ya 5 ili mpate ubingwa.
Hata huyu naye nasikia hawaridhishi kabisa........!
Maximo pamoja na mbwembwe zote alifukuzwa kwa sababu gani?
Hamjaamua kuchukua ubingwa....?
Ebu sema tena nisikie vizuri....!
Mpaka sasa mmefukuza makocha zaid ya 5 ili mpate ubingwa.
Hata huyu naye nasikia hawaridhishi kabisa........!
Mleta mada sijakuelewa una maana gani na hii "Ltd Captain"
Simba kama Ashanti,hawajui maana ya ligi,kwao msimu mzima mechi 2, then kila kitu kimeisha Mgambo sawa,Stand sawa,Kagera sawa, Mbeya sawa,saresare maua sawa,yaani kama timu ndogo vile za ndondo,ila kama unaongozwa Pop hushtuki, Unaitwa mbumbumbu unapiga makofi unategemea nini,ipo siku mtashuka daraja na hatutawabeba kama 1988 au ilivyokuwa 5_5 ,ya Tukuyu stars
Acha kunilisha maneno ya kusema.
Unataka niseme usikie vizuri kitu gani?? nyie ndala wambea sana. Sijaongea hayo maneno unayosema kama vipi niquote!