demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Na vikombe vya kununua vya Yanga vipo humo humo. Sijui vingapi?????
Magoli ya Msuva nayo ni yakununua......!
Magoli yake yamemtia uchizi Huyo Hans Popo wenu.... hata akashauriwa na mke wake eti amsajili Msuva kwa milion 70/= wakati thamani yake ni milion 750/=.