Zacharia Isaay (Mbunge Mbulu): Serikali iache kigugumizi ieleze wazi kuhusu ugonjwa wa kupumua unaomaliza watu wa Mbulu

Tatizo sisi wananchi ni bwana ndio Sana kuliko maisha yetu
 
Siku zote yanapo mkuta mfalume huwa anasema kuwa naitisha wazee wa Baraza kwahiyo tusubirie tena !!!!
 
Mh Mbunge Mungu akubariki sana.Rais Magufuri atambue hata akiwaondoa wapinzani Bungeni, atapata upinzani tu hata ndani ya chama chake watu wasiporidhishwa na mambo.
Ninapomwona Rais Magufuli ni mtu wa ajabu ni pale ambapo hajali uhai wa watu. Mtu wa namna hiyo ni wa ajabu sana.

Mtu mwenye Roho ya ubinadamu, hata usipokuwa na jawabu la ugonjwa, ukiona wenzako wanaangamia, angalao utawaambia wanaokuzunguka kuwa mwenzenu kuna ndugu zangu wanaumwa au wanafariki. Haiwezekana watu wako wanaugua wanakufa, halafu kwa majirani unawaambia, nyumbani kwangu ni salama kabisa.

Ndiyo maana namwona Magufuli kama mtu ambaye hajabeba roho ya ubinadamu. Nadhani ana kitu tofauti na roho ambayo binadamu huwa nayo.
 
Mh Mbunge Mungu akubariki sana.Rais Magufuri atambue hata akiwaondoa wapinzani Bungeni, atapata upinzani tu hata ndani ya chama chake watu wasiporidhishwa na mambo.
Upinzani upo mioyoni mwa watu. Huyu amejitoa mhanga kusema ukweli.
 
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀mbavu zaaaaangu jamani.
Kumbe nchi inaongozwa na mnyama ati ee🙄🙄🙄🙄😀😃😄😀😂🤣😂🤣
 
Kweli kama kiongozi anasimama hadharani anasema watu wasivae barakoa na anasema sio lazima kuchukua hatua kutekeleza social distancing ni mbaya sana.
 
Roho ya mnyama isiyo na utashi wa kibinadamu
 
Mtaalam katembelea hospitali zote ila Mbunge katembelea hospitali moja lkn wewe unamuamini Mbunge kuliko Mtaalamu maana unachopenda kukisikia kikufurahishe ni hicho cha Mbunge
Mtu aliyeokotwa jalalani unadhani akili zake zikoje.
Mbunge hajaokotwa alichaguliwa na watu timamu
 
Rudi majalalani hakukufai huku ni kwa ma great thinkers
 
Rudi majalalani hakukufai huku ni kwa ma great thinkers
But you are not among those GTs. Wewe kaa ukisubiri tamko la kuvaa barakoa au kunawa kwa sabuni ili corona isikupate

GTs are always proactive and not reactive.
 
Namuita Jasiri. Kama angetaja corona mwanzo wa mchango wake washenzi wange kata mawasiliano. Kama umebahatika kusikiliza clip yake alipo taja neno corona walikata mawasiliano na kumuambia muda umekwisha. Sifa ya mtu apewe. Nani mwingine kwenye hicho kikao cha Ccm hapo Dodoma amethubutu kuongea???
 
Awe ametaja neno corona au hajataja, hoja yangu ni kuwa watu wamekuwa na woga wa kijinga mpaka kufikia hatua ya kuogopa kutaja mambo yaliyopo. Kwangu mimi huyo siyo jasiri bali ametimiza wajibu wake. Hata kama wengine wameogopa lakini hakumfanyi awe jasiri.
 
Mbunge wa Mbulu anasema jimboi kwake amefriki watu wengi wenye waliokuwa na dalili za Corona kiasi kwamba kwa sasa amekuwa akipokea taarifa za misiba na kuzipotezea

Ameendelea kusema pia Serikali imeshauri watu kutumia dawa za miti shamba lakini watu wamkuwa wakinywa tu kama gongo sababu hakuna muongozo maalumu

Pia amesema ametembelea Hospitali ya BW Mkapa na kuambiwa mitungi yote ya Oksijeni imeisha na kutahadharisha kuwa watashindwa hata kuwalinda wataalamu wa afya na kumba Serikali kuongeza miungi hiyo.

 
Hongera kwa mh.Mbunge.Unaweza kufanya watu kuonekana wajinga kwa kipindi fulani lakini si wakati wote. Pia wapo wabunge wengi hawakuhitaji mabegi na walichukizwa sana kuonekakana wamebebwa na kishindo , ipo siku wataweka wazi.
 
Upinzani wa kweli umeanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…