mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Hakika kocha Zahera anajua kujitetea.Baada ya majigambo ya kuifunga Pyramid ya Misri kushindikana,Kocha Zahera katika utetezi wake amesema usajili aliiufanya ulikuwa kwa ajili ya ligi kuu tu.
Najiuliza kama kocha alijua hivyo kwanini Yanga ilipopangwa na CAF kwenye mashindano hakuwafahamisha viongozi juu ya uwezo mdogo wa wachezaji waliosajili kutokuhimili mashindano ya kimataifa badala yake mbwembwe na majigambo ya kufanya vizuri vikitawala.
Ni aibu kwa kocha kutoa utetezi wa aina hivyo na Yanga ikifanya vibaya ligi kuu atatuambia wachezaji hawakusajiliwa kwa ligi kuu.
Najiuliza kama kocha alijua hivyo kwanini Yanga ilipopangwa na CAF kwenye mashindano hakuwafahamisha viongozi juu ya uwezo mdogo wa wachezaji waliosajili kutokuhimili mashindano ya kimataifa badala yake mbwembwe na majigambo ya kufanya vizuri vikitawala.
Ni aibu kwa kocha kutoa utetezi wa aina hivyo na Yanga ikifanya vibaya ligi kuu atatuambia wachezaji hawakusajiliwa kwa ligi kuu.