Zahera ameifanya isiwe na uchu wala wivu wa ushindi

Zahera ameifanya isiwe na uchu wala wivu wa ushindi

sawa..nayaheshimu mawazo yako...ila hilo la viwango kupanda sina hakika nalo...upo wakati viwango vyetu vvilikuwa juu kabisa...ila kama huoni kuwa Yanga kama itaendelea hivi ilivyo inaweza ikajikuta inapambana kushuka daraja nalo ni sawa tu...ni mtazamo tu..
Sasa Yanga imecheza mechi 3 LDW hivi kwa trend hii inaleta logic kuwa Yanga ni mbovu kias unachotaka kuaminisha?
Hapo chati ya Yanga inapanda.Haishuki.Sasa sijui wewe unataka nini.Tuone baada ya mechi 10 Yanga itakuwa wapi!Mechi 10 kwangu ndo huwa naona mwelekeo wa timu kwa ujumla.
 
pesa ndo mchawi kwa yanga na si wachezaj, pesa za michango haziwez kuendesha mpira wakisasa tena kwa tim kubwa kama yanga hapa kila siku mtatafuta mchawi
 
Sasa Yanga imecheza mechi 3 LDW hivi kwa trend hii inaleta logic kuwa Yanga ni mbovu kias unachotaka kuaminisha?
Hapo chati ya Yanga inapanda.Haishuki.Sasa sijui wewe unataka nini.Tuone baada ya mechi 10 Yanga itakuwa wapi!Mechi 10 kwangu ndo huwa naona mwelekeo wa timu kwa ujumla.

Nadhani unalo tatizo la msingi kuhusu uelewa wa issues na maandiko mbalimmbali...unashindwa kuelewa maana ya andiko na nini mwandishi amedhamiria kupeleka ujumbe gani ...anyway niachie hapo maana kuendelea kujibizana hapa is a waste of time...kama huelewi maana ya 'Yanga ikiendelea hivi au na mwenendo huu inaweza ikajikuta ikipigigania kutoshuka daraja' basi ni wazi tuna safari ndefu
 
Yanga ya sasa ikifunga goli moja tu inapaki Basi. Au ikitokea ikabahatika kusawazisha wanarudi nyuma wote kulinda .

Tena kipa anapoteza mda makusudi ili kulinda sare. Maajabu ya Dunia,acha Simba watucheke.

Ni mbinu ya hovyo kabsa kuwahi kuiona kwa timu yenye malengo ya kutwaa ubingwa.

Kwa kawaida hii huwa ni mbinu ya timu inayojinusuru kushuka daraja. Mbaya zaidi mbinu hii imekua ikiwaghalimu, lakini Zahera anasema eti haimnyimi usingizi.

Kama halimnyimi usingizi anangoja nini pale Yanga? Yanga inatafta sare hadi mechi ya kirafiki? Viongozi fuatilieni kwa karibu ni nini Zahera anafundisha mazoezini.

Kocha gani hajui hata kusajili. Kumbukeni msimu huu zinashuka timu 4 msije sema hatukuwambia. Shauri enu!!
he must go!
sack him!
 
Back
Top Bottom