D DEAL88 JF-Expert Member Joined Apr 9, 2016 Posts 875 Reaction score 1,098 May 7, 2019 #21 Laki Si Pesa said: mbu mbu mbu bana, wana Yanga tumetulia lakini Simba A.K.A kubebwa fc wanatapa tapa tu. Makombe tumewaachia hatuyataki chukueni tuacheni tujenge timu Click to expand... Makombe hamyataki ndo mroge kiasi mile??Mara ngapi mnapigwa faini kwa kukwepa mageti kwa kuamini ushirikina,ndo mjue mechi zenu mlizoshinda zote ni nguvu ya ushirikina Hakuna kitu mjipange
Laki Si Pesa said: mbu mbu mbu bana, wana Yanga tumetulia lakini Simba A.K.A kubebwa fc wanatapa tapa tu. Makombe tumewaachia hatuyataki chukueni tuacheni tujenge timu Click to expand... Makombe hamyataki ndo mroge kiasi mile??Mara ngapi mnapigwa faini kwa kukwepa mageti kwa kuamini ushirikina,ndo mjue mechi zenu mlizoshinda zote ni nguvu ya ushirikina Hakuna kitu mjipange