Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Hii tabia kaileta haina manufaa kwa team kabisa. Kocha anaabudu sana ushirikina matokeo yake Yanga inaathirika kila mara.
Yanga inapigwa bao mbili na Lipuli sababu wachezaji wanaamini katika ushirikina. Tok jana jana zinarushwa videos za yanga wakifanya ushirikina.
Mara nying TFF imewapiga yanga fine kwa tabia hizo. Msimu huu imekuwa too much zahera fundisha mpira siyo kutuletea waganga wako tu kila wakati.tumeshachoka.
Yanga inapigwa bao mbili na Lipuli sababu wachezaji wanaamini katika ushirikina. Tok jana jana zinarushwa videos za yanga wakifanya ushirikina.
Mara nying TFF imewapiga yanga fine kwa tabia hizo. Msimu huu imekuwa too much zahera fundisha mpira siyo kutuletea waganga wako tu kila wakati.tumeshachoka.