Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,896
- 4,058
Toka afike Yanga huyu ni kocha wa visingizio kila kukicha.Tukiacha visingizio vya msimu uliopita,toka msimu huu uanze amekuwa ni kocha wa visingizio viiingi visivyokua na kichwa wala miguu. Alipofungwa na polisi TZ,mechi ya kirafiki alisingizia uwanja, akaenda Arusha akatoka sare na FC Leopard akaulalamikia uongozi kuwa ziara ya Arusha ilikua ni kupoteza mda. Baada ya kufungwa na Ruvu Shooting akailalamikia bodi ya ligi kuwa inaipendelea Simba kwamba kwanini wao walicheza mapema wakati walikua nje ya nchi? Hakuishia hapo akaomba mechi zake na Mbeya city,n Prison ziahirishwe ili kujiandaa na Zesco ili wachezaji wasichoke. Tff ikakubali cha ajabu leo timu imechapwa. Tusubiri kesho sjui ataongea nini.
Zahera anamapungufu mengi sn hasa jinsi anavyoipanga timu. Anakosea sn. Hv kweli unampanga Ali Ali unamwacha nje Juma Abdul kwann? Kushoto Ali Sonzo hawezi kupanda mbele. Timu nzuri inapimwa kwa kufunga magoli sio kulinda. Mbaya zaidi timu inacheza ovyoo ovyo kabsa.
Zahera anamapungufu mengi sn hasa jinsi anavyoipanga timu. Anakosea sn. Hv kweli unampanga Ali Ali unamwacha nje Juma Abdul kwann? Kushoto Ali Sonzo hawezi kupanda mbele. Timu nzuri inapimwa kwa kufunga magoli sio kulinda. Mbaya zaidi timu inacheza ovyoo ovyo kabsa.