HPAUL
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 410
- 567
Zahera kocha mkuu Yanga ametaja wengine waliovurunda mechi ya Simba, ukweli ni kuwa Yanga haina timu ya kusimama na Simba sasa hivi. ile sare ni bahati tu. Dirisha dogo wasajili wachezaji wenye viwango vya kimataifa wanaopata namba kwenye timu zao za taifa Kama Uganda na Zambia, nchi zilizoizidi kiwango Tanzania
Ebu msome Zahera anavyobwabaja
SALEH JEMBE
Ebu msome Zahera anavyobwabaja
SALEH JEMBE