HatariNimesoma gazeti la mwananchi Online limemnukuu Zahera akisema," Kurushiwa makopo kawaida wala haimuumizi kichwa." Akaongeza yeye bado anamkataba na Yanga. Huyu jamaa sjui kwanini anang'ang'ania Yanga wakati anasema halipwi chochote. Mi ananichefua! basi tu.
Ndo anawadanganya hivyo. Rudia tena club gani ? Yaani hata club ya watoto hawezi kupewa. Zahera aondoke tu.Bado Yanga tunamuhitaji, mpaka club ya ligi kuu Ufaransa iitwayo Reims inamtaka akaifundishe.
Nimesoma gazeti la mwananchi Online limemnukuu Zahera akisema," Kurushiwa makopo kawaida wala haimuumizi kichwa." Akaongeza yeye bado anamkataba na Yanga.
Huyu jamaa sjui kwanini anang'ang'ania Yanga wakati anasema halipwi chochote.
Mi ananichefua! basi tu.
Toka awadanganye mpaka akatoa na machozi amewateka sana vichwani.Bado Yanga tunamuhitaji, mpaka club ya ligi kuu Ufaransa iitwayo Reims inamtaka akaifundishe.
Apewe mudaTimu haipigi hata pasi tatu..aisee hata ally mayai hawezi kufundisha mpira mbovu vile akipewa timu[emoji16]
Kindoki InZahera out
Apewe muda
Apewe muda