Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,896
- 4,058
Nimesoma gazeti la mwananchi Online limemnukuu Zahera akisema," Kurushiwa makopo kawaida wala haimuumizi kichwa." Akaongeza yeye bado anamkataba na Yanga.
Huyu jamaa sjui kwanini anang'ang'ania Yanga wakati anasema halipwi chochote.
Mi ananichefua! basi tu.
Huyu jamaa sjui kwanini anang'ang'ania Yanga wakati anasema halipwi chochote.
Mi ananichefua! basi tu.