Mcheza bao wa kariakoo na mzee akili mali..Lubumbashi ni karibu na Mbeya. Zahera mengine mnamsingizia tu.
Yawezekana kijiografia uko sahihi ila kisayansi ya mpira hauko sahihi, tukiongea kisoka, sio ushabiki maandazi, mambo haya ni huku bara letu giza tu. Haiwezekani uishushe timu umbali wa zaidi ya kilometa 800 huku halafu usafirishe wachezaji na basi kilomita kadhaa hizo wakati kulikuwa na uwezekano wa wa kushushia timu within 0 km.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kutokea Mbeya to Dar kwa bus na ndege ilikua na uwezo wa kufika DarJiografia nadhani ulipata alama ya chini sana...Hao TP Mazembe wametoka Kinshasa au Lubumbashi?? Na kama ni Lubumbashi unadhani huo mji uko wapi??? Je, huo mji uko karibu na Dar es Salaam au Mbeya??
Dah...tatizo lililopo ni kuwa kwa maelezo yako ni dhahiri haujawahi kuongoza chochote kwenye sekta ya michezo na hasa soka...mimi nimeongoza mpira mpaka kwenye ngazi ya kitaifa...hapo ndipo lilipo tatizo...Inaelekea hujui masuala ya gharama katika kusafirisha timu na pia inaelekea hujui katika masuala ya saikoloaxjia ya michezo...hujui wachezaji wanachokaje kimwili wanaposafiri umbali mrefu kwa ndege...kutoka Lubumbashi kwenda kinshasa halafu Nairobi halafu Dar es Salaam...na route ya Lubumbashi (pengine kwa ndege maalum hadi Mbeya) na kuchukua basi (au hata ndege ) hadi dar es salaam...Acha analysis za kishabiki...jikite kwenye objective analysis.....Na kwa nyongeza tu inaelekea hujui route ya Lubumbashi -Kinashasa-Nairobi-Dar es Salaam unatumia saa ngapi kwa ndege---yaani hujui unakaa saa ngapi pale kinshasa kupata connection ya Nairobi..na halafu hujui pale Nairobi Airport utakaa muda gani kusubiri connection ya Dar es Salaam..na kama kwa route hiyo na kwa kuzingatia connections hizo utaweza kuwahi kufika Dar kwa wakati na kufanya mazoezi na kuzoea hali ya hewa ya Dar...Lakini pengine hufahamu kuwa Lubumbashi hadi Mbeya ni muda mfupi kabisa na gharama nafuu ukiwa na ndege maalum...yaaani unafika Mbeya na kuchukua luxury basi hadi dar es salaam..basi la watu 55 wanapanda watu 30 tu na kujinafasi ndani ya basi hadi Dar es slaam...hakuna uchovu hapo ...These are just assumptions..sina hakika kama wamechukua basi kutoka Mbeya to Dar...
Kwan amefanyaje mkuu.Huyu kocha ni mwehu hajui nini aseme wapi na wakati gani juzi baada ya mechi na alliance alihojiwa akajibu upuuzi tu
Kwakuwa ushasema ushakuwa mpaka kiongozi wa soka ngazi ya kitaifa wacha nikuwache weye(in lufufu's voice) maana utakuwa nawe una mchango wako kidogo katika soka letu bovu na maendeleo duni ya mchezo huo hapa nchini..Dah...tatizo lililopo ni kuwa kwa maelezo yako ni dhahiri haujawahi kuongoza chochote kwenye sekta ya michezo na hasa soka...mimi nimeongoza mpira mpaka kwenye ngazi ya kitaifa...hapo ndipo lilipo tatizo...Inaelekea hujui masuala ya gharama katika kusafirisha timu na pia inaelekea hujui katika masuala ya saikolojia ya michezo...hujui wachezaji wanachokaje kimwili wanaposafiri umbali mrefu kwa ndege...kutoka Lubumbashi kwenda kinshasa halafu Nairobi halafu Dar es Salaam...na route ya Lubumbashi (pengine kwa ndege maalum hadi Mbeya) na kuchukua basi (au hata ndege ) hadi dar es salaam...Acha analysis za kishabiki...jikite kwenye objective analysis.....Na kwa nyongeza tu inaelekea hujui route ya Lubumbashi -Kinashasa-Nairobi-Dar es Salaam unatumia saa ngapi kwa ndege---yaani hujui unakaa saa ngapi pale kinshasa kupata connection ya Nairobi..na halafu hujui pale Nairobi Airport utakaa muda gani kusubiri connection ya Dar es Salaam..na kama kwa route hiyo na kwa kuzingatia connections hizo utaweza kuwahi kufika Dar kwa wakati na kufanya mazoezi na kuzoea hali ya hewa ya Dar...Lakini pengine hufahamu kuwa Lubumbashi hadi Mbeya ni muda mfupi kabisa na gharama nafuu ukiwa na ndege maalum...yaaani unafika Mbeya na kuchukua luxury basi hadi dar es salaam..basi la watu 55 wanapanda watu 30 tu na kujinafasi ndani ya basi hadi Dar es slaam...hakuna uchovu hapo ...These are just assumptions..sina hakika kama wamechukua basi kutoka Mbeya to Dar...
Unaandika usichojijua, TP Mazembe wamekuja na ndege yao so hakukuwa na sababu ya kushukia mbeya ambapo itawagharimu zaidi ya 800km kuitafuta Dar. Unataka kutuambia usafiri wa ndege mbeya tu dar unachosha zaidi ya bus!!?? Huna unalojua.Dah...tatizo lililopo ni kuwa kwa maelezo yako ni dhahiri haujawahi kuongoza chochote kwenye sekta ya michezo na hasa soka...mimi nimeongoza mpira mpaka kwenye ngazi ya kitaifa...hapo ndipo lilipo tatizo...Inaelekea hujui masuala ya gharama katika kusafirisha timu na pia inaelekea hujui katika masuala ya saikolojia ya michezo...hujui wachezaji wanachokaje kimwili wanaposafiri umbali mrefu kwa ndege...kutoka Lubumbashi kwenda kinshasa halafu Nairobi halafu Dar es Salaam...na route ya Lubumbashi (pengine kwa ndege maalum hadi Mbeya) na kuchukua basi (au hata ndege ) hadi dar es salaam...Acha analysis za kishabiki...jikite kwenye objective analysis.....Na kwa nyongeza tu inaelekea hujui route ya Lubumbashi -Kinashasa-Nairobi-Dar es Salaam unatumia saa ngapi kwa ndege---yaani hujui unakaa saa ngapi pale kinshasa kupata connection ya Nairobi..na halafu hujui pale Nairobi Airport utakaa muda gani kusubiri connection ya Dar es Salaam..na kama kwa route hiyo na kwa kuzingatia connections hizo utaweza kuwahi kufika Dar kwa wakati na kufanya mazoezi na kuzoea hali ya hewa ya Dar...Lakini pengine hufahamu kuwa Lubumbashi hadi Mbeya ni muda mfupi kabisa na gharama nafuu ukiwa na ndege maalum...yaaani unafika Mbeya na kuchukua luxury basi hadi dar es salaam..basi la watu 55 wanapanda watu 30 tu na kujinafasi ndani ya basi hadi Dar es slaam...hakuna uchovu hapo ...These are just assumptions..sina hakika kama wamechukua basi kutoka Mbeya to Dar...
Weka ushabiki maandazi pemebeni kisha tuonge kwa hoja.. Mleta mada kasema wameshukia mbeya kukwepa juju za simba uwanja wa ndege wa dar sasa, wakija na ndege yao dar watakuwa wamekikwepa nini, labda kama mbeya wameahuka kutalii kidogo hapo sawa, km wanakwepa juju kwa imani zetu huku bara jeusi lazima wasafiri kwa basi.. Jifunze kuelewa kwanza mkuu kabla ya kukimbilia kukosoa na kauli zako mbovu.Una uhakika watasafirishwa kwa bus? Watu wamekùja na ndege yao alafu wasafiri kwa bus kutoka Mbeya-Dar inaingia akilini hiyo?
Mbumbumbu hamtobadilika kamwe
Unachekesha sana, hivi unaujua usafiri wa ndege au unazungumzia daladala!? Habari za ukaribu wa Mbeya na Lubumbashi bado hazina mashiko kwakuwa mechi inachezewa Dar, kuna haja gani ya kushukia Mbeya eti kisa ni karibu na Lubumbashi then wachukue Bus mpaka Dar!!?? Hiyo ndege ina maana gani sasa!!??Sawa...niliweka hizo route kwa maana kuwa pengine
Sawa ...hizo route ni za commercial flights...sasa baadhi 'walitaka' watue Dar na siyo Mbeya..hawajui kuwa mbeya na lubumbashi ni karibu ukiwa na ndege maalum
Tumsamehe tu mkuu.. Ndio kafikiri to ze eksitenti hapoMwehu huyo mkuu... Yaani hata kufikiri tu kidogo anadhindwa eti mbeya iko karibu... Then match iko dar, huo si uwendawazimu.
[emoji2398]troublemaker 2019. all right reserved.
Hahah. Wew jamaa hujielewi kabisa. Sasa lubumbashi-Dar ndio mbali kutumia ndege bunafsiSawa...niliweka hizo route kwa maana kuwa pengine
Sawa ...hizo route ni za commercial flights...sasa baadhi 'walitaka' watue Dar na siyo Mbeya..hawajui kuwa mbeya na lubumbashi ni karibu ukiwa na ndege maalum
Kwa hiyo unachisema ukuwa na ndege binafsi mbeya karibu kuliko dar. Ila ndege ya kawaida mbeya mbaliYaani sisi Watanzania ni watu wa ajabu kabisa...tunapenda minong'ono sana...Eti Zahera amewashauri TP Mazembe watue Mbeya baadala ya Dar es Salaam...Yaani watu hawajui hata jiografia ya nchi zetu ikoje...hawajui kuwa Mbeya na Lubumbashi ni karibu...na kwamba ukiwa na ndege maalum ni nafuu...watu wa ajabu sana...wanaamini each and everything...mijadala ya msingi wanaiacha...Bado nina kumbukumbu za miaka ile ya nyuma ilipokuja habari kuwa eti huko Buguruni kuna nyoka kwenye nyumba fulani ana vichwa saba...watu wakawa wanakwenda Buguruni kwa lengo la kumuona nyoka huyo na wala hawajui ni nyumba ipi yupo huyo nyoka wa ajabu......