Ukitakujua ni vita ya kinchi wimbo wa taifa lazima upigwe. Acheni hizo mbute fcSabotage kwa Simba sio nchi, labda ingekua Taifa Stars hapo sawa
Ukitakujua ni vita ya kinchi wimbo wa taifa lazima upigwe. Acheni hizo mbute fc
Sent using Jamii Forums mobile app
Usipopigwa bendera inawakilisha ...Lini ulipigwa mkuu
Barafu la moto
Eti analipwa mshahara na watanzania!! We umemlipa??Nimeona Haji akiongea kimafumbo juu ya huyu kocha kuwa alidanganya kwenda Kongo lakini kumbe yupo na AS Vita hapa nchini.
Kama yanayosemwa ni sahihi basi huyu kocha aliyejijengea heshima kubwa anatuchukulia poa sana Watanzania. Amekuwa akitoa lugha za kejeli kwa wachezaji wa Tanzania bila staha akaachwa, sasa anataka kuhujumu Simba ambayo inawakilisha nchi tena waziwazi si kutuona wadwazi?
Kama taarifa hizi ni kweli huyu kocha atakuwa amepitiliza sasa. Amekosa namna ya kuwasaidia hao AS Vita huku akiheshimu kuwa analipwa mshahara na Watanzania?
Ni vizuri akakanusha taarifa hizi kama si kweli ili zisimchafulie sifa nzuri aliyojijengea hasa namna alivyoijenga Yanga nyakati hizi ngumu kiuchumi kwao.
Kila lakheri chama kubwa Simba, mnawakilisha nchi, lindeni heshima ya taifa hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshajua aina ya mtu ninaezungumza nae kumbe hajui hata anachokisema.
Wewe na Haji Manara wote hamna akili, Simba siyo timu ya Taifa, Simba unawakilisha msimbazi, mimi binafsi nitakwenda uwanjani kuwashangilia AS Vita baada ya kuwapiga full dozi usiku tutakuwa ngwasuma kuyakata mayenu.Nimeona Haji akiongea kimafumbo juu ya huyu kocha kuwa alidanganya kwenda Kongo lakini kumbe yupo na AS Vita hapa nchini.
Kama yanayosemwa ni sahihi basi huyu kocha aliyejijengea heshima kubwa anatuchukulia poa sana Watanzania. Amekuwa akitoa lugha za kejeli kwa wachezaji wa Tanzania bila staha akaachwa, sasa anataka kuhujumu Simba ambayo inawakilisha nchi tena waziwazi si kutuona wadwazi?
Kama taarifa hizi ni kweli huyu kocha atakuwa amepitiliza sasa. Amekosa namna ya kuwasaidia hao AS Vita huku akiheshimu kuwa analipwa mshahara na Watanzania?
Ni vizuri akakanusha taarifa hizi kama si kweli ili zisimchafulie sifa nzuri aliyojijengea hasa namna alivyoijenga Yanga nyakati hizi ngumu kiuchumi kwao.
Kila lakheri chama kubwa Simba, mnawakilisha nchi, lindeni heshima ya taifa hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo Republic of Simba mmeamuwa kutumia mamluki? Okwi, chama, Kagere hawa ni wa wapi?Ukitakujua ni vita ya kinchi wimbo wa taifa lazima upigwe. Acheni hizo mbute fc
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaonesha ni jinsi gani hujui mpira wa miguu au umeanza kufuatilia mpira hivi karibuni. Michuano ya klabu bingwa Africa, ulaya au bara lolote lile duniani hakunaga kupigwa nyimbo ya taifa.Ukitakujua ni vita ya kinchi wimbo wa taifa lazima upigwe. Acheni hizo mbute fc
Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau kesho unafungwa na Lipuliwana yanga tupo nyuma ya kocha wetu zahera... simba wanaanzia wapi kuwakilisha nchi..
simba na yanga ni wapinzani wa jadi .. hata siku moja mwana yanga hawezi muombea simba ushindi... zaidi ya unafiki tu..
na ninataka mfungwe 5
Huoni matangazo kwenye TV kila siku wa tz tuwachngieNilikuwa sijui kama Zahera analipwa mshahara na watanzania
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] vibonde hawa kazi kuishadadia Simba tu midomon mwao
I love youZahera yupo Congo,ni kocha msaidizi wa team ya taifa ya Congo. Congo DRC wanacheza na Liberia Alhamisi ijayo. Manara mpumbavu tu,badala ya kufocus kwa team ya Simba yupo busy na whereabouts za Zahera. What for?
Si kwa Mikia,haya mwambieni Bashite ampige ban Zahera ya kutokukanyaga Dar.
Me too.I love you
Na kwa kuongeza hata wachezaji mamluki ubeba bendera za nchi zao kwenye fainali.Unaonesha ni jinsi gani hujui mpira wa miguu au umeanza kufuatilia mpira hivi karibuni. Michuano ya klabu bingwa Africa, ulaya au bara lolote lile duniani hakunaga kupigwa nyimbo ya taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Andadogi[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] vibonde hawa kazi kuishadadia Simba tu midomon mwao
Sent using Jamii Forums mobile app