Zahera na AS Vita ndani ya nchi hii?

Zahera na AS Vita ndani ya nchi hii?

Nimeona Haji akiongea kimafumbo juu ya huyu kocha kuwa alidanganya kwenda Kongo lakini kumbe yupo na AS Vita hapa nchini.

Kama yanayosemwa ni sahihi basi huyu kocha aliyejijengea heshima kubwa anatuchukulia poa sana Watanzania. Amekuwa akitoa lugha za kejeli kwa wachezaji wa Tanzania bila staha akaachwa, sasa anataka kuhujumu Simba ambayo inawakilisha nchi tena waziwazi si kutuona wadwazi?

Kama taarifa hizi ni kweli huyu kocha atakuwa amepitiliza sasa. Amekosa namna ya kuwasaidia hao AS Vita huku akiheshimu kuwa analipwa mshahara na Watanzania?

Ni vizuri akakanusha taarifa hizi kama si kweli ili zisimchafulie sifa nzuri aliyojijengea hasa namna alivyoijenga Yanga nyakati hizi ngumu kiuchumi kwao.

Kila lakheri chama kubwa Simba, mnawakilisha nchi, lindeni heshima ya taifa hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti analipwa mshahara na watanzania!! We umemlipa??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona Haji akiongea kimafumbo juu ya huyu kocha kuwa alidanganya kwenda Kongo lakini kumbe yupo na AS Vita hapa nchini.

Kama yanayosemwa ni sahihi basi huyu kocha aliyejijengea heshima kubwa anatuchukulia poa sana Watanzania. Amekuwa akitoa lugha za kejeli kwa wachezaji wa Tanzania bila staha akaachwa, sasa anataka kuhujumu Simba ambayo inawakilisha nchi tena waziwazi si kutuona wadwazi?

Kama taarifa hizi ni kweli huyu kocha atakuwa amepitiliza sasa. Amekosa namna ya kuwasaidia hao AS Vita huku akiheshimu kuwa analipwa mshahara na Watanzania?

Ni vizuri akakanusha taarifa hizi kama si kweli ili zisimchafulie sifa nzuri aliyojijengea hasa namna alivyoijenga Yanga nyakati hizi ngumu kiuchumi kwao.

Kila lakheri chama kubwa Simba, mnawakilisha nchi, lindeni heshima ya taifa hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe na Haji Manara wote hamna akili, Simba siyo timu ya Taifa, Simba unawakilisha msimbazi, mimi binafsi nitakwenda uwanjani kuwashangilia AS Vita baada ya kuwapiga full dozi usiku tutakuwa ngwasuma kuyakata mayenu.

Ukitafuta mashabiki machizi nchi hii basi ni mashabiki wa Simba, kuamini kwamba Simba ina uwezo wa kuifunga Vita ni matumizi mabovu ya akili na kumjaribu Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi unavyura wengi mpaka unamtishia Simba kunywa maji ila nawaomben tuongeee kisoka kesho baada ya 90' Mwenyez Mungu akitujaalia uzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zahera yupo Congo,ni kocha msaidizi wa team ya taifa ya Congo. Congo DRC wanacheza na Liberia Alhamisi ijayo. Manara mpumbavu tu,badala ya kufocus kwa team ya Simba yupo busy na whereabouts za Zahera. What for?
I love you
 
Back
Top Bottom