Zahera ni Mkongo aache kuzisemea timu za Tanzania hazimuhusu

Mwisho wa kunukuu msemaji mwenye IQ ndogo wa simba amesema hivi mbele ya kituo cha Radio.


Wadau wa michezo naombeni mchambue na mdadavue hii kauli ya msemaji wa simba.

Uwanja wenu
Huyo ana walakini.
 
Mtaumia sana
Kati ya wasemaji wa ovyo kuwahi kutokea ni Haji Manara! Staili anayoitumia ya 'kubwabwaja' haina tija yoyote! Sababu tu amezaliwa katika familia ya soka ndio anajiona mjuaji kuliko wenzie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…