Frank Wanjiru JF-Expert Member Joined Apr 12, 2012 Posts 22,719 Reaction score 40,739 Dec 13, 2018 #21 kinje ketile said: Kwani mlitakaje ?aseme Zahera ni mTz...!uhalisia ni kuwa Zahera ni mkongo,na hivyo ndivyo alivyosema..!msubiri kipigo cha mbwa koko this time! Click to expand... Na Manara ni Zeruzeru,full stop.
kinje ketile said: Kwani mlitakaje ?aseme Zahera ni mTz...!uhalisia ni kuwa Zahera ni mkongo,na hivyo ndivyo alivyosema..!msubiri kipigo cha mbwa koko this time! Click to expand... Na Manara ni Zeruzeru,full stop.
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Dec 13, 2018 #22 craq said: Mwisho wa kunukuu msemaji mwenye IQ ndogo wa simba amesema hivi mbele ya kituo cha Radio. Wadau wa michezo naombeni mchambue na mdadavue hii kauli ya msemaji wa simba. Uwanja wenu Click to expand... Huyo ana walakini.
craq said: Mwisho wa kunukuu msemaji mwenye IQ ndogo wa simba amesema hivi mbele ya kituo cha Radio. Wadau wa michezo naombeni mchambue na mdadavue hii kauli ya msemaji wa simba. Uwanja wenu Click to expand... Huyo ana walakini.
Viol JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 25,420 Reaction score 18,298 Dec 13, 2018 #23 Mtaumia sana Twamo said: Kati ya wasemaji wa ovyo kuwahi kutokea ni Haji Manara! Staili anayoitumia ya 'kubwabwaja' haina tija yoyote! Sababu tu amezaliwa katika familia ya soka ndio anajiona mjuaji kuliko wenzie Click to expand...
Mtaumia sana Twamo said: Kati ya wasemaji wa ovyo kuwahi kutokea ni Haji Manara! Staili anayoitumia ya 'kubwabwaja' haina tija yoyote! Sababu tu amezaliwa katika familia ya soka ndio anajiona mjuaji kuliko wenzie Click to expand...
Nahonyo JF-Expert Member Joined Dec 28, 2012 Posts 5,550 Reaction score 5,379 Dec 13, 2018 #24 craq said: Nenda efm wakupe audio Click to expand... Wewe nawe sawa na Zahera tu.