Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Nimeangalia makocha wengi Tanzania na afrika.sijaona kocha kama Zahera. Yanga wanapaswa kuwa wavumilivu wampe nafasi. Ana vitu vikubwa sana wasije wakamwacha haraka Simba au Azam wakamchukua.
Toka amekuja mwaka jana Yanga imebadilika sana.inacheza mpira wa nguvu na mambo mambo mengine. Usajili alioufanya ni moja ya Sajili nzuri sana sema tu wachezaji bado hawajapata chemistry nzuri.ila naona yanga ambayo itatisha sana msimu huu.
Mmeona jinsi ambavyo ameifikisha yanga hapo ilipo kimataifa.yanga imekuwa na uwezo wa kupindua matokeo ugenini bila hofu kabisa.
Nawashauri chonde chonde msimwache Zahera ni kocha mzuri sana kwa sasa hapa Afrika na pengine Ulaya, ukichukulia amewahi kufundisha vilabu vikubwa Ufaransa.
Toka amekuja mwaka jana Yanga imebadilika sana.inacheza mpira wa nguvu na mambo mambo mengine. Usajili alioufanya ni moja ya Sajili nzuri sana sema tu wachezaji bado hawajapata chemistry nzuri.ila naona yanga ambayo itatisha sana msimu huu.
Mmeona jinsi ambavyo ameifikisha yanga hapo ilipo kimataifa.yanga imekuwa na uwezo wa kupindua matokeo ugenini bila hofu kabisa.
Nawashauri chonde chonde msimwache Zahera ni kocha mzuri sana kwa sasa hapa Afrika na pengine Ulaya, ukichukulia amewahi kufundisha vilabu vikubwa Ufaransa.