Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Hao ni wanaa hawana tofauti na ManaraWaliokuwa wanaomba Zahera afukuzwe ndio waliokuwa mstari wa mbele kumwimbia manyimbo ya sifa pale JNIA alipowasili toka Botswana.
Limbwata ya kingongo imewalevya hadi timu ya Township nyumbani kwao. Dah hii limbwata ya kikongo washabiki wa Yanga wameiridhia kwa moyo mmoja. Tunaomba ikolezwe zaidiLimbwata la kikongo limeanza kupungua nguvu.Walugaluga akili zimeanza kufanya kazi.
Enheeee.... Dr.Msola ameshinda sasa vipi tuendelee naye au tumfyekeeeleeee mbali. Piga moyo konde ukisema Mungu nisaidie nna roho ya kishirikinaHuyu jamaa ni kocha wa kulalamika! Wachezaji waliosajiliwa karibia wote amewapendekeza mwenyewe, lakini bado analalamika hawamfai!
Amechelewa kujiunga na kambi kwa sababu zake binafsi, leo viongozi wameona wamsaidie kutafuta mechi sahihi za kirafiki ili kutengeneza chemistry nzuri ya timu, bado anatoka hadharani anawalaumu viongozi kwa maamuzi hayo!
Ningekua mimi ndiye Dr. Mshindo Msolla, ningempa mechi moja tu ya marudiano na Township Rollers! Angeshindwa tu kuwafunga, ningepata kisingizio cha kumfyekelea mbali.
Wewe ndio wakuondoka tumecheza na Gor lini mechi ya kirafiki. Mbumbumbu daima Hana kumbukumbuNiseme ukweli kabisa huyu jamaa nilikuwa nma respect sana ila sasa kanichosha kabisa hata kama ni kesho aondoke tu, huwezi kusema uwanja mbovu wakati gor wanacheza vizuri tu
Enheeee.... Dr.Msola ameshinda sasa vipi tuendelee naye au tumfyekeeeleeee mbali. Piga moyo konde ukisema Mungu nisaidie nna roho ya kishirikina