Zahera: Simba hawana uwezo wa kumsajili Makusu

Kwanza tuanze kudadisi Timu anayochezea makusu tajiri wao anautajiri wa bei gani? Na timu ya simba ambayo tajiri ni mo anautajiri wa kiasi gani?

Sent using unknown device
Nadhani point sio tajiri ana utajiri kiasi gani ila amewekeza kiasi gani kwenye timu.
 
Simba inaweza kusajili mtu yeyote Africa, huyu ZAHERA AKANYWE MAJI YA BOMBA ATULIE STENDI WANAMSKIA
 
!
!
Simba Imuajiri Zahera Awe Kama Kocha WA Watoto Kwa Sababu Anaonekana Anapenda Sana Simba. Haishi Kuizungumzia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…