Bado wanaYanga wana kumbukumbu yenye maumivu juu ya Biashara ya Heritier Makambo kwenda Horoya. Maumivu yakiwa bado hayajapoa kwa sasa Maabara yupo Molinga anasukwa.
Anapewa Promotion ya kila namna, anapewa dkk 90 za kucheza, anapambwa kwa kila namna na mwisho wa siku Zahera atamwita kwenye top 50 ya timu ya Congo ili KumBrand na kupaisha thamani yake.
Mwisho wa Msimu huyoooo Wydad Cansablanca bila Yanga kuambulia chochote.
Biashara ya Zahera itakuwa imetiki
Yanga tustuke mapema, Klabu iache kutumika kama Academy ya Zahera kubrand wachezaji na wa Kicongo na kuuza. Hata hivyo namsifu Zahera kwa ujanja na Elimu hii ya hali ya juu. Ni ushauri tuu Wanajangwani
Anapewa Promotion ya kila namna, anapewa dkk 90 za kucheza, anapambwa kwa kila namna na mwisho wa siku Zahera atamwita kwenye top 50 ya timu ya Congo ili KumBrand na kupaisha thamani yake.
Mwisho wa Msimu huyoooo Wydad Cansablanca bila Yanga kuambulia chochote.
Biashara ya Zahera itakuwa imetiki
Yanga tustuke mapema, Klabu iache kutumika kama Academy ya Zahera kubrand wachezaji na wa Kicongo na kuuza. Hata hivyo namsifu Zahera kwa ujanja na Elimu hii ya hali ya juu. Ni ushauri tuu Wanajangwani