and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
zaid ya 50% ya magari tunayonunua mikononi mwa watu (yaliyotumika Tanzania) ni ama ya wizi ambapo umiliki/Title holder sie anaekuuzia hata ukienda TRA hamna details za mmiliki wa sasa. Ewe Mnunuzi chukua Tahadhari na hao MATAPELI siku POLISI wakikushukia SEGEREA inakuhusu.