Zaidi ya Akaunti Milioni 30 za FaceBook ni za watu waliokufa

Zaidi ya Akaunti Milioni 30 za FaceBook ni za watu waliokufa

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
Copy of Copy of Copy of Copy of Copy of CHINA IMEFUNGUA HOSPITAL YA MAROBOT_20241112_165442_0000.png


Kampuni ya meta imetoa ripoti inayoonyesha Kuna akaunti za watumiaji wengi wa Facebook ambao ni marehemu wamekufa ila bado akaunti zipo na zinafanya Kazi.

Ripoti iyo inaonyesha zaidi ya watu milioni 30 wa Facebook ni za akaunti ambazo wahusika wake wameshakufa kitambo tu lakini zipo mpaka Leo.

Facebook imesema tunajua Kuna baadhi ya watu wamekufa kitambo na akaunti zao zipo kwaiyo ndo tuziondoe ?? Hapana izo ni kumbukumbu muhimu kwa ndugu jamaa na marafiki walioondokewa na watu wao muhimu.

Lakini Facebook imetangaza unaweza kuseti mfumo mpya ambao ikitokea umekufa basi akaunti yako anapewa ndugu, jamaa na rafiki kuweza kuiendeleza au kuifuta wakitaka.

Fanya hivi >> ingia setting>>privacy>>kisha setting>> Access and control>>Memorization>> chagua namba ya mtu unayetaka atakayeweza kurithi akaunti yako.

Ukitaka kufuta akaunti sasa ingia kwenye Facebook>> chagua menu option >> Help & support >> help center>> tafuta deceased user delete> chagua na kuweza kuondoa akaunti ya marehemu.

#facebooktips #facebookfeatures #fahamuzaidi #bongotech255
 
Kuendeleza akaunti ya mtu aliyekufa siyo vizuri. Labda ibakie tu kama alivyokuwa ameiacha kabla ya kufariki
akaunti zina kazi nyingi zipo za wafanyabiashara nafikiri hizi zafaa kuendelezwa maana mwenyewe alikuwa anafikia wateja wake kwa urahisi kupitia huko, kama mtaendeleza biashara yake basi ni vyema na akaunti yake iendelezwe ili iwe rahisi kufikia wateja ambao alikuwa ameshawatengeneza kuliko kuanza upya.
 
Kuendeleza akaunti ya mtu aliyekufa siyo vizuri. Labda ibakie tu kama alivyokuwa ameiacha kabla ya kufariki
Kama ni ya biashara kama Kuna a Lemutuz????!!!
 
Je familia ya Lemutuz inapatq chochote kutokana na kampuni yake kuendelea?
Familia ipi Tena??!!!😳😳 Wale watoto wakiongozwa na mama yao SI walimkataa Baba yao.
Babake LEMUTUZ? Mzee Malecela mwenyewe ndio aliwaambia wafanyakazi wa Ile kampuni waendelee na kazi...
 
Back
Top Bottom