vallentino86
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 532
- 213
Lakini siyo sababu ya kunyimwa! Hivyo wangesema kwamba Atakayechagua kozi hii hatapata mkopo kabisa wakaona kama wote tusingeziacha but wao walisema non priority and siyo hawapati
Swala ni moja serkali pesa zote zimeishia kwenye bunge la katiba kwahiyo hayo mambo ya priority na non priority ni mbwe mbwe tu za watawala kwahyo ulitaka kila mtu asome ualimu na sayansi? Kwanini HESLB wasingesema kuwa kama mtu atachagua non priority asiaply kabisa, sasa kilichofanyika ni kupiga elfu30 za vijana na kuingia mitini.. Shame of this nation.
Kama we ni mtoto wa mkulima ulikuwa unajaza nini coz za pale wakati unajua ni non priorityWadau hii suala vip, serikali inalichuliaje, chuo pia kinalichukuliaje hili suala?
Zaidi ya 80% wanafunzi walioomba mkopo heslb na wakabahatika kuchaguliwa Mzumbe university tumekosa mkopo, Mfano BBA. PLM tulichaguliwa wanafunzi 103, ambao wamepewa mkopo ni 10 tu.
Pia BSEPD waliochaguliwa ni zaidi ya 100 waliopata mkopo ni wanafunzi 6 tu.
Je sisi watoto wa wakulima na masikini wa kutupwa tutaenda wapi? Ndo kusoma imetoka au la! Serikali inalizunguziaje hili? Mwisho naomba ushauri,
NIFANYE NINI ILI NISOME? USHAURI
calm down na fikiria plan B sisi hatuna cha kukupa
Nani kati ya walioapply siyo mtoto wa mkulima, acha kuropoka kama ni kodi wote tunalipa, tatizo haukusoma Economics ulisoma zako English hivyo haujui kila siku ukila chochote umelipa kodi pia, mavazi likewise, serikali inatakiwa kugawa national cake equally siyo kulopoka na bila kujua kama hiyo nihaki yangu na ninapokosa haki yangu lazima nilaumu!
HIVi wewe unasema serikali isilaumiwe kivipi mfano mi nilichgua coz tano 4 priolty 1 non nikapelekwa non hapo mzumbe bhsm na sijapata kitu wamepata watu 7 kati ya 90 na hivi unadhani hiyo ni haki na wote watoto wa wakulima
:angry::angry:
HIVi wewe unasema serikali isilaumiwe kivipi mfano mi nilichgua coz tano 4 priolty 1 non nikapelekwa non hapo mzumbe bhsm na sijapata kitu wamepata watu 7 kati ya 90 na hivi unadhani hiyo ni haki na wote watoto wa wakulima
:angry::angry:
hahahaaa. mkuu ii ni kavu sana paka mafuta kidogo
Nani kati ya walioapply siyo mtoto wa mkulima, acha kuropoka kama ni kodi wote tunalipa, tatizo haukusoma Economics ulisoma zako English hivyo haujui kila siku ukila chochote umelipa kodi pia, mavazi likewise, serikali inatakiwa kugawa national cake equally siyo kulopoka na bila kujua kama hiyo nihaki yangu na ninapokosa haki yangu lazima nilaumu!
basi kuweni na amani wadogo zangu Mungu atafanya njia(planB)
Jamani matatizo mengine mnajitafutia wenyewe, mlishapewa mwongozo kuna course hazijapewa kipaombele na serikali na wewe ukajichomeka ukouko, wakati umeambiwa kabisa