Zaidi ya asilimia 80 wamekosa mkopo Mzumbe University

Zaidi ya asilimia 80 wamekosa mkopo Mzumbe University

chuon kwetu Tia waliopewa mkopo wote ni fm6, au majina ya diploma yatafata baadae ?, msaada mwenye tetes zozot juu ya hil jambo mana ata Ifm na Mzumbe ivo ivo
 
Bt nasikia mkopo wanatoa kwa awamu hvi ni kweli au ndo basi hvyo,,,, mana me mwenyewe nimekoxa na nimesoma shule za kata,,, ila kuna mkaka wa chuo kanipa hpe mkopo unatoka kwa awamu kwahyo nisiwe na hofu sana,,,,
 
Swala ni moja serkali pesa zote zimeishia kwenye bunge la katiba kwahiyo hayo mambo ya priority na non priority ni mbwe mbwe tu za watawala kwahyo ulitaka kila mtu asome ualimu na sayansi? Kwanini HESLB wasingesema kuwa kama mtu atachagua non priority asiaply kabisa, sasa kilichofanyika ni kupiga elfu30 za vijana na kuingia mitini.. Shame of this nation.

kama umeona sio priority and still una apply it means utaweza kujilipia incase ukikosa so ni logic tu hapo imetumika
 
Wadau hii suala vip, serikali inalichuliaje, chuo pia kinalichukuliaje hili suala?
Zaidi ya 80% wanafunzi walioomba mkopo heslb na wakabahatika kuchaguliwa Mzumbe university tumekosa mkopo, Mfano BBA. PLM tulichaguliwa wanafunzi 103, ambao wamepewa mkopo ni 10 tu.
Pia BSEPD waliochaguliwa ni zaidi ya 100 waliopata mkopo ni wanafunzi 6 tu.
Je sisi watoto wa wakulima na masikini wa kutupwa tutaenda wapi? Ndo kusoma imetoka au la! Serikali inalizunguziaje hili? Mwisho naomba ushauri,
NIFANYE NINI ILI NISOME? USHAURI
Kama we ni mtoto wa mkulima ulikuwa unajaza nini coz za pale wakati unajua ni non priority
 
HIVi wewe unasema serikali isilaumiwe kivipi mfano mi nilichgua coz tano 4 priolty 1 non nikapelekwa non hapo mzumbe bhsm na sijapata kitu wamepata watu 7 kati ya 90 na hivi unadhani hiyo ni haki na wote watoto wa wakulima
:angry::angry:
 
Nani kati ya walioapply siyo mtoto wa mkulima, acha kuropoka kama ni kodi wote tunalipa, tatizo haukusoma Economics ulisoma zako English hivyo haujui kila siku ukila chochote umelipa kodi pia, mavazi likewise, serikali inatakiwa kugawa national cake equally siyo kulopoka na bila kujua kama hiyo nihaki yangu na ninapokosa haki yangu lazima nilaumu!

kaandamane basi ili upewe iyo equality... amini usiamini husawa hakunaga ata siku moja co tz tu
 
HIVi wewe unasema serikali isilaumiwe kivipi mfano mi nilichgua coz tano 4 priolty 1 non nikapelekwa non hapo mzumbe bhsm na sijapata kitu wamepata watu 7 kati ya 90 na hivi unadhani hiyo ni haki na wote watoto wa wakulima
:angry::angry:

ukishaambiwa kitu ni non priority unajazaje na uliambiwa utapangwa kozi yoyote kati ya ulopangwa
 
HIVi wewe unasema serikali isilaumiwe kivipi mfano mi nilichgua coz tano 4 priolty 1 non nikapelekwa non hapo mzumbe bhsm na sijapata kitu wamepata watu 7 kati ya 90 na hivi unadhani hiyo ni haki na wote watoto wa wakulima
:angry::angry:

Unataka kusemaje Sasa kwa Mfano...
 
Nani kati ya walioapply siyo mtoto wa mkulima, acha kuropoka kama ni kodi wote tunalipa, tatizo haukusoma Economics ulisoma zako English hivyo haujui kila siku ukila chochote umelipa kodi pia, mavazi likewise, serikali inatakiwa kugawa national cake equally siyo kulopoka na bila kujua kama hiyo nihaki yangu na ninapokosa haki yangu lazima nilaumu!

baada ya english kukuwezesha kufaulu hyo economics unaanza madharau eee
 
Jamani matatizo mengine mnajitafutia wenyewe, mlishapewa mwongozo kuna course hazijapewa kipaombele na serikali na wewe ukajichomeka ukouko, wakati umeambiwa kabisa

Kwa hiyo maskini waache kusoma vile wanavyopenda kwa vile sio kipaumbele?
 
huyu kijana anaonekana kupisha sana au tukuchoree mchoro kabisa ndio upate uelewa wa kuwa program uliyoomba haina mkopo? cha kufanya tena fasta ingia website ya tcu ujaze form ya transfer uombe kubadilishiwa chuo na uchague program yenye mkopo lasivyo mwaka huu swala la chuo lisahau kabsaa coz ukienda kule bila hela hawakuelewi kabsaaa!
 
tena na serikali inekufungulia mlango pia yakuwa unachoenda kukisoma hakina ajira coz baada ya kuhitimi utajilaumu tena kwanini hukusoma education?
 
Maskini wote kozi zetu ni ualimu na Sayansi kozi za utawala tuwaachie watawala wenye nazo,nyie maskini mnachagua kozi za utawala,sheria ili mmtawale nani?
Nadhani ingekuwa njema zile za nani priority wangetoa mkopo hata kwa asilimia 30 tu
 
Back
Top Bottom