johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
HahahahaaaaaaaKimsingi Binadamu hafundishwi Uongozi bali anafundishwa jinsi ya Kutawala na Kusimamia
Uongozi ni Kipawa, Kipaji na Karama ambayo imewekwa ndani ya roho na Ubongo wa Watu wachache sana tuseme Wateule wa Mungu wa Mbinguni
Nimeona Kipawa Kipaji na Karama ndani ya Freeman Mbowe pekee katika viongozi wa Upinzani baada ya kutwaliwa kwa Maalim Seif ambaye alikuwa Kiongozi mwenye Kipawa Kipaji na Karama
Zaidi ya Mbowe huko Upinzani kuna Mtu mwingine yoyote ambaye tunaweza kumuita ni " Kiongozi" mbele ya Mungu wa Mbinguni na mbele ya Wanadamu?
Nimekaa pale 🐼
Maanake haoni mbaliMyopia!
Huyu jamaaa atalaaniwa kwa kueneza sumu ya lawama kwa vijana wa kitanzaniaKimsingi Binadamu hafundishwi Uongozi bali anafundishwa jinsi ya Kutawala na Kusimamia
Uongozi ni Kipawa, Kipaji na Karama ambayo imewekwa ndani ya roho na Ubongo wa Watu wachache sana tuseme Wateule wa Mungu wa Mbinguni
Nimeona Kipawa Kipaji na Karama ndani ya Freeman Mbowe pekee katika viongozi wa Upinzani baada ya kutwaliwa kwa Maalim Seif ambaye alikuwa Kiongozi mwenye Kipawa Kipaji na Karama
Zaidi ya Mbowe huko Upinzani kuna Mtu mwingine yoyote ambaye tunaweza kumuita ni " Kiongozi" mbele ya Mungu wa Mbinguni na mbele ya Wanadamu?
Nimekaa pale 🐼
Yule aliekatiliwa kufundisha chuo kikuu kwa ajili ya ufaulu wake ila wakamakataa shauri ya mdomo mchafu angestahili awe ni zaidi ya Mbowe ila ndio hivyo tena ,mola hakupi kila kituKimsingi Binadamu hafundishwi Uongozi bali anafundishwa jinsi ya Kutawala na Kusimamia
Uongozi ni Kipawa, Kipaji na Karama ambayo imewekwa ndani ya roho na Ubongo wa Watu wachache sana tuseme Wateule wa Mungu wa Mbinguni
Nimeona Kipawa Kipaji na Karama ndani ya Freeman Mbowe pekee katika viongozi wa Upinzani baada ya kutwaliwa kwa Maalim Seif ambaye alikuwa Kiongozi mwenye Kipawa Kipaji na Karama
Zaidi ya Mbowe huko Upinzani kuna Mtu mwingine yoyote ambaye tunaweza kumuita ni " Kiongozi" mbele ya Mungu wa Mbinguni na mbele ya Wanadamu?
Nimekaa pale 🐼
Huyo jamaa ana PhD ya unafikiYaani we jamaa huwa unakurupuka sana yaani ukisikia tu kitu kimesemwa tayari umekileta jF...uwe unachunguza kwanza yasemwayo kabla ya ku ropoka kwa watalaam km sisi...umbea na unafki tu unakusumbua..kuwashwa
https://www.facebook.com/Kimsingi Binadamu hafundishwi Uongozi bali anafundishwa jinsi ya Kutawala na Kusimamia
Uongozi ni Kipawa, Kipaji na Karama ambayo imewekwa ndani ya roho na Ubongo wa Watu wachache sana tuseme Wateule wa Mungu wa Mbinguni
Nimeona Kipawa Kipaji na Karama ndani ya Freeman Mbowe pekee katika viongozi wa Upinzani baada ya kutwaliwa kwa Maalim Seif ambaye alikuwa Kiongozi mwenye Kipawa Kipaji na Karama
Zaidi ya Mbowe huko Upinzani kuna Mtu mwingine yoyote ambaye tunaweza kumuita ni " Kiongozi" mbele ya Mungu wa Mbinguni na mbele ya Wanadamu?
Nimekaa pale 🐼