Zaidi ya kuwa mkweli kupitiliza, Tundu Lissu ni mtu mcheshi, na mwenye mizaha. Wanahabari kufurahia kufanya naye mahojiano.

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
..ucheshi na mizaha ya Tundu Lissu humfanya muandishi kujisikia huru kuuliza maswali.

..ukiacha hilo hakuna muandishi ambaye hutoka bila kujifunza jambo jipya toka kwa Tundu Lissu.

..Clouds walifanya mahojiano na Lissu mpaka wakaamua kuzidisha muda wa kipindi.

..fuatilia mahojiano hapa chini.


View: https://www.youtube.com/watch?v=ExjdX8ZPBwQ
 
Waandishi wa habari wa Bongo hupenda kuhoji watu wapuuzi wapuuzi kama Pierre Liquid, Dk. Shika, Manara, Lissu, nk kwasababu Wabongo wengi wenye vichwa vyepesi hupenda vitu vya kipuuzi puuzi!
 
Waandishi wa habari wa Bongo hupenda kuhoji watu wapuuzi wapuuzi kama Pierre Liquid, Dk. Shika, Manara, Lissu, nk kwasababu Wabongo wengi wenye vichwa vyepesi hupenda vitu vya kipuuzi puuzi!

..wana habari wa Kibongo wakienda kwa Tundu Lissu huwa wana-enjoy sana mahojiano naye.

..ukiacha kuwa huru katika mahojiano waandishi hao hujifunza mambo mapya kuhusu siasa, historia, sheria, nk toka kwa Tundu Lissu.

..tatizo ni mabosi wa vyombo vya habari wanatishwa na serikali wasimhoji Tundu Lissu.
 
Waandishi wa habari wa Bongo hupenda kuhoji watu wapuuzi wapuuzi kama Pierre Liquid, Dk. Shika, Manara, Lissu, nk kwasababu Wabongo wengi wenye vichwa vyepesi hupenda vitu vya kipuuzi puuzi!
Wahi matibabu kabla ya kufikia hatua mbaya zaidi.

Kwa wenye akili timamu:
Vyombo vyote vya habari vikubwa Duniani, pia vimewahi kumhoji Lisu. Uwezo wake mkubwa wa kujenga hoja, kuelezea mambo kwa ufasaha na ukweli, unavifanya vyombo vya habari kuona ni mtu mwenye kuvutia wasikilizaji na watazamaji wengi.
 
Ahahahahaha!!
 
Waandishi wa habari wa Bongo hupenda kuhoji watu wapuuzi wapuuzi kama Pierre Liquid, Dk. Shika, Manara, Lissu, nk kwasababu Wabongo wengi wenye vichwa vyepesi hupenda vitu vya kipuuzi puuzi!
Umeandika kitoto sana, kweli wewe ni mtoto wa shule.
Kumbuka kipindi cha Hard Talk pia kiliwahi kumuhoji Lisu.
 
Umeandika kitoto sana, kweli wewe ni mtoto wa shule.
Kumbuka kipindi cha Hard Talk pia kiliwahi kumuhoji Lisu.
Ahahahahaha! Hard Talk ni TV Show ya Bongo? Hapo sasa nani kaandika kitoto! Ahahahahaha!!!
 
Tundu Lissu akihutubia masaaa matatu unakuwa naye sekunde kwa sekunde hadi mwisho.

Hachoshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…