Haya sasa endelea kuchagua wanaume Monica ndo amesha pata hivo wewe endelea kucheza kwaito.mimi siolewi na mtu kama masanja hata kwa winchi
misifa majivuno muongo mnafiki
nampenda kwa kuchekesha tu
Asante=Heri
Kawaida ya mwanamke huwa inapotea ukiwpewa papuchi, kitu kinavuta, kinang'ata, kwanini usitangaze ndoa!Sikutegemea kabisa kwa " ujanja " wote alionao Masanja angeingia " mkenge " kwa Demu wa kawaida sana kama huyo. Inapendeza mno Celeb nae akatafuta Demu Celeb au wa " nguvu " sana. Nilitaka niende katika Harusi yake ila kama " amenasa " kwa huyo sipotezi muda wangu.
LazimaLe mutuzz atakwepo?
hizi taarifa atakua keshapata..Inabidi umfikishie mwaliko rafiki yako.
Ushaambiwa kakae siti ya mbele cku ya harusi kila mtu anajisifia na kumsifia mpenz wake Wewe unatokwa povu la nn
Kwahiyo nawewe ni moja ya waliojisikia vibaya?
Eti dereva mmoja hazeeshi gari eeh?
haaaaa Lol
Imekuuma??
Wivu wa nn??
Unamuoneaje wivu mtu ambaye hakufahamu teh?! Ajabuuu😛
okay......ni rafiki wa hall 7.hizi taarifa atakua keshapata..
ila uzuri na yeye alishaolewa
Ujinga mtupu umeandikaNamuonea hako kadada huruma. Kama katakuwa kanasafiri majuu hasa China akague mabegi yake kwa uangalifu wa hali ya juu kabla ajaenda airport. Ningeshaur anunue xray scanner ya mabegi kwa sir bila mkandamizaj kugundua
Sa si ndo kaamua kuonyesha kwa watu baada ya kukaa kimya.Misifa tu...kama anampenda inatuhusu nini?
Kila mtu akitangaza anavyompenda wake itakuwaje?
Upendo wa ukweli hautangazwi...unaonekana.