Zaidi ya Ma-MC 10 kuongoza harusi ya Masanja Mkandamizaji

Zaidi ya Ma-MC 10 kuongoza harusi ya Masanja Mkandamizaji

Aaaaah, kila lakheri bhana,

Kipendacho roho, Roho ndo ya kwako, nani atazuia???

BACK TANGANYIKA
 
Misifa tu...kama anampenda inatuhusu nini?
Kila mtu akitangaza anavyompenda wake itakuwaje?
Upendo wa ukweli hautangazwi...unaonekana.
Ushaambiwa kakae siti ya mbele cku ya harusi kila mtu anajisifia na kumsifia mpenz wake Wewe unatokwa povu la nn
 
Usipomtakia heli?????? Mungu atafanya yake, punguza wivu kama jamaa ako hajawahi kujisifu kuwa na ww jichunguze vizuri labda unagubu au vinginevyo[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] .
Karambe malimao

=Heri
 
View attachment 365277 View attachment 365273 View attachment 365271
Katika kuwahabarisha watu wake na mashabiki wake,Masanja Mkandamizaji ameandika hivi katika mtandao wake
MBWEMBWE ZOOOOOOTE ZIMEISHIA KWA BINTI HUYU WA KISUKUMA HAKIKA KAWAZIDI WOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOTEEEEEEEEE

JAMANI KAMA ULIWAHIGI NIPENDA AU NILIWAHIGI KUKUPENDA BASI TUENDELEE KUOMBEANA MAANA HAPA NDO BREAK YA MBELE.

NAMPENDA MPAKA NASIKIA KIZUNGUZUNGU.
NAONA TAR 14 HAIFIKI

NATAMANI UKUMBINI MKAE SITI YA MBELE ILI USHUHUDIE MA STEP

ZAIDI YA MA MC 10 NIKIWEPO MIMI TUTAONGOZAAAAAAAAAAAAAAA TUKIO.

JAMANI KUSEMA UKWELI HAKA KA BINTI NAKAPENDA MWEEEEEH

KAMA HAUJAJISIKIA VIBAYA TUTAKIE KILA LA KHERI NA USIPOTUTAKIA MUNGU ATAFANYAAA

Sikutegemea kabisa kwa " ujanja " wote alionao Masanja angeingia " mkenge " kwa Demu wa kawaida sana kama huyo. Inapendeza mno Celeb nae akatafuta Demu Celeb au wa " nguvu " sana. Nilitaka niende katika Harusi yake ila kama " amenasa " kwa huyo sipotezi muda wangu.
 
Sikutegemea kabisa kwa " ujanja " wote alionao Masanja angeingia " mkenge " kwa Demu wa kawaida sana kama huyo. Inapendeza mno Celeb nae akatafuta Demu Celeb au wa " nguvu " sana. Nilitaka niende katika Harusi yake ila kama " amenasa " kwa huyo sipotezi muda wangu.
Kawaida kwako...dhahabu kwa mwenzako.....
 
Sikutegemea kabisa kwa " ujanja " wote alionao Masanja angeingia " mkenge " kwa Demu wa kawaida sana kama huyo. Inapendeza mno Celeb nae akatafuta Demu Celeb au wa " nguvu " sana. Nilitaka niende katika Harusi yake ila kama " amenasa " kwa huyo sipotezi muda wangu.
NINA HAKIKA UKIDHUBUTU KUMUANIKA WA KWAKO KASORO ZITAKUWA MARIDHAWA BIN LUKUKI...Perfection is all about perception.
 
Sikutegemea kabisa kwa " ujanja " wote alionao Masanja angeingia " mkenge " kwa Demu wa kawaida sana kama huyo. Inapendeza mno Celeb nae akatafuta Demu Celeb au wa " nguvu " sana. Nilitaka niende katika Harusi yake ila kama " amenasa " kwa huyo sipotezi muda wangu.

Wewe unatafuta wa kuuza magazeti ya Shigongo, mwenzio anataka wa kuishi nae Na kujenga familia bora.
 
Back
Top Bottom