Zaidi ya robo tatu ya wakazi wa Dar es Salaam wanaishi katika makazi holela

Kwanza unajua maana ya makazi holela hebu tafsiri maana ya makazi holela alaf ukimaliza hapo nikugundishe tofaut kimaana ya ya slum na makazi holela
 

Please if you can give an evidence from a reliable and credible source.
 


The whole Nairobi is slum, technology technology technology
 
Senior, kichwa cha topic chafaa kuwa robo tatu….yaani 75%
Inasikitisha sana aisee...
Tatizo la kuongozwa na hisia title imeelekeza vyema na mstari wa kwanza hivyo nilitarajia mistari inayofuata isapot topic sentence with references, examples, facts, citation of some scholars and other statement related to them, so kajifunze kuandika hurudi tena jukwaani πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…