Mfafanulie VSAT inamaanisha nini naona ni kama umempa kibarua kigumu!Wangejipanga na VSAT communication
Zaidi ya vituo 11,000 vya kupigia kura kati ya 40,000 havipo kwenye mtandao wa 2G au 3G. Kwahiyo itabidi waende kwenye maeneo yenye mtandao ili waweze kutuma matokeo kwenda IECB.
My take: Pamoja na kuwa nchi ya uchumu wa kati, bado kuna watu hawapo kwenye mtandao kabisa?
Zaidi ya vituo 11,000 vya kupigia kura kati ya 40,000 havipo kwenye mtandao wa 2G au 3G. Kwahiyo itabidi waende kwenye maeneo yenye mtandao ili waweze kutuma matokeo kwenda IECB.
My take: Pamoja na kuwa nchi ya uchumu wa kati, bado kuna watu hawapo kwenye mtandao kabisa?
Hakuna 2G.Hapo umedanganya. Nchi nzima ya Kenya iko na 2g connection, lakini kutangaza haya matokeo kunahitaji the fast speeds za 3g kwenda juu. However, 3g ++ haipatikani kwenye robo ya vituo hivyo vya kupigia kura.
2g is very unreliable for sending that kind of data.
IEBC turns to satellite in areas with no network coverageHakuna 2G.
I know what i wrote.
Nengla ndangla ndani ya tumboeeeNOTED!!
''Aut Vincere Aut Mori''
Tanzania sidhani kama maisha haya yapoZaidi ya vituo 11,000 vya kupigia kura kati ya 40,000 havipo kwenye mtandao wa 2G au 3G. Kwahiyo itabidi waende kwenye maeneo yenye mtandao ili waweze kutuma matokeo kwenda IECB.
My take: Pamoja na kuwa nchi ya uchumu wa kati, bado kuna watu hawapo kwenye mtandao kabisa?
Hata wewe unahitaji msaada huo, ndiyo maana badala ya kufafanua umemuomba mwanzilishi ndo afafanueMfafanulie VSAT inamaanisha nini naona ni kama umempa kibarua kigumu!
Hehe chapa kikombe cha chai jombaa naona ni kama bado uko usingizini.Ilikuwa ni utani naelewa VSAT,sattelite communication. Hayo yote kando kura yangu nimeipiga tayari kama dakika thelathini zilizopita.Hata wewe unahitaji msaada huo, ndiyo maana badala ya kufafanua umemuomba mwanzilishi ndo afafanue
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchumi wa kati wa kimagumashi tu....My take: Pamoja na kuwa nchi ya uchumu wa kati, bado kuna watu hawapo kwenye mtandao kabisa?
Zaidi ya vituo 11,000 vya kupigia kura kati ya 40,000 havipo kwenye mtandao wa 2G au 3G. Kwahiyo itabidi waende kwenye maeneo yenye mtandao ili waweze kutuma matokeo kwenda IECB.
My take: Pamoja na kuwa nchi ya uchumu wa kati, bado kuna watu hawapo kwenye mtandao kabisa?