Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Zaidi ya vituo 11,000 vya kupigia kura kati ya 40,000 havipo kwenye mtandao wa 2G au 3G. Kwahiyo itabidi waende kwenye maeneo yenye mtandao ili waweze kutuma matokeo kwenda IECB.
My take: Pamoja na kuwa nchi ya uchumu wa kati, bado kuna watu hawapo kwenye mtandao kabisa?
My take: Pamoja na kuwa nchi ya uchumu wa kati, bado kuna watu hawapo kwenye mtandao kabisa?