Zaidi ya walimu 20,000 waliokuwa mitaan zaidi ya miezi tisa kupangiwa wilaya waendazo leo!

GOOGLE

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
1,889
Reaction score
1,127
Habari za kuaminika kutoka wizara ya Elimu zimedai kuwa walimu hao watatangazwa leo na naibu waziri wa wizara hiyo Bwana Amin Mulugo!

Tembea na uzi huu hadi jioni ww mwl uliyekuwa mtaani kwa zaidi ya miezi tisa na huku watoto wetu wakiwa hawana walimu!

Wapo walioemda kwenye majiji na manispaa lkn wengi zaid wameenda vijijin!

Naamin JF mtaaimisi kwa wale watakaoemda interior sana na ID zenu zitakuwa inactive tofauti na sasa!

Ushauri!! Kila ukija wilayani Uvinza au pale ntwara au Nachigwea kuchukua salary weka post moja kuhusu maendeleo ya elimu na changamoto zake juu ya watumishi wake na watoto wa mtanzania!

Toeni Elimu kwa watoto wetu na jamii nzima juu uelewa wa rasilimali zetu na zinavyokuwa utilized! Kumbukeni mwl mzazi na ni kiongozi pia.

Nawatakien ufanisi mwema mjichunge kujipa marupurupu kupitia watoto wetu wa kike!

Wenu
Mwl (Msc) Google.
 
Acheni ujinga wa kukurupuka kutoa taarifa huna uhakika cheki ulivyo
 
Jaribu kuwa mstaarabu kuliko kama unavyokurupuka kutoa taarifa ambazo huna uhakika nazo wala source! haya mambo wanafanyaga akina dada wale wa saloon ili kuwapa kampan wateja wao wasichoke sidhani kama ni busara kutoa taarifa ambazo hauna uhakika nazo humu kwa wasomi.
 
Kusubiri ajira za serikali muda wote huo kwa mwalimu elimu yako haijakukomboa,mbona watu tulimaliza tukalamba shavu private salary x 2 ya kiwango cha serikali.mnaenda kufanya kazi local govement jiandaeni kabisa kuwa local.
 
Acha kujigamba ww,wote wangeamua kukimbilia private wangeajiriwa na nani?private sector ndo inaweza kuajir walimu wote?
 
Kusubiri ajira za serikali muda wote huo kwa mwalimu elimu yako haijakukomboa,mbona watu tulimaliza tukalamba shavu private salary x 2 ya kiwango cha serikali.mnaenda kufanya kazi local govement jiandaeni kabisa kuwa local.

CHILDISH...!
Elimu uliyoipata haijakusaidia...mbulula!
 
Kusubiri ajira za serikali muda wote huo kwa mwalimu elimu yako haijakukomboa,mbona watu tulimaliza tukalamba shavu private salary x 2 ya kiwango cha serikali.mnaenda kufanya kazi local govement jiandaeni kabisa kuwa local.

Naona viazi wameongezeka humu JF. Jipange!
 
Alikuwa ametumwa na Hamim Augustino kuwapa moyo vijana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…