George Kahangwa
JF-Expert Member
- Oct 18, 2007
- 547
- 148
pole sana kama hukujua hayo.
humu kila mtu ana chama chake isipokuwa INVISIBLE na MODS wenzake tu wao sio wafuasi wa chama chochote.lakin ni watanzania wenye kuipenda kwa moyo wao wote nchi yao,wenye kuitakia mema na kuwatakia mema waTZ wenzao.
watu zaidi yA 100 wamekufa and one would have thought COMMANDER IN CHIEF angeenda MERERANI walau ku save face lakini wapi!
Commander in chief yuko Butiama anakula kuku kwa mrija
Yes, I know this kikao been arranged for a long time but he could have postponed it, if only for a few days, pleading pressing business at Mererani.
JK's place right now ishould have been Mererani. He should have been touring the disaster area, feeling people's pain and dispensing mulligatawny soup and some drinking water, accompanied by MAMA SALMA KIKWETE in aristocratic, frayed jacket, Laura Ashley frock and not some kitenge as she is predeictable.
He should be out there digging drainage ditches in Mererani, not digging latrines in Butiama. A bit of noblesse oblige might not have gone amiss.
It would have conveyed a sense of getting his priorities right. If there was one time when it wouldn't have done JK any harm to behave like an old-fashioned MSWAHILI WAKATI WA SHINDA, this was it.
JK,How about extending a bit of compassion to those you expect to vote for you next time?
As far as voters in Tanzania are concerned, it's not the lack of clean drinking water in Butiama conference centre which is top of their concerns, it's lack of clean drinking water in Mererani.
He won't have endeared himself to those who should be his natural supporters by disappearing off to Butiana while our fellow Tanzanians have been buried under six feet of water and mud
That's what a serious Leader of a Country would have done - consoled the victims and doled out a bit of high-profile, practical help, while simultaneously holding his Prime minister Mr Pinda to account.
In the middle of a national crisis, he shouldn't go missing, giving the impression that he cares more about CCM in Butiama than those ordinary Tanzanians in Mererani.
The time for stunts is over. We need a commander in Chief and not this cartoon like figure who doesnt know what to do in a time of crisis like this.
This is getting petty!!! JK is your President u nut,not God..why not have William Ngereja go,he is the Minister of Energy & Mineral- and he is not even a NEC member in Butiama.
hata angeenda Simanjiro, u would blame him still.4 something else
If you're serious, Call William Ngereja, his number is +255-787-603-535,tell him to Tour Merelani now..Blame JK First Season is a little lame, he can eat kuku while his President?..For the Merelani victims, R.I.P.amen
hapo juu pia vile vile kwa kuongezea, sidhani kama suala hili lingeweza kupitia directly kwa kikwete iwapo halikupita kwanza na foremost kwa viongozi wa serikali za mitaa. yap ! Hawa viongozi wa serikali za mitaa ni kama vile marais wa mitaa au nchi, because they are soo close to the people hivyo wao ndio wa kwanza kujua matatizo yao, baada ya hapo nadhani kuna manispaa, mkoa then taifa. Kama hili suala limepita kwa viongozi wote hao na wameshindwa kusolve, nadhani automatically JK would have to solve the problem, lakini kumlalamikia kila kitu just shows on how senseless driven minds we potray !
Kutojua chain of management nadhani ndio kosa linalochangia kwa kila mtu kufikia uamuzi wa kumpaka JK hata yale makosa ya ujenzi mbovu wa shule za misingi, mitaro ya maji na taka taka !
hivi rais wetu kweli huwa anapata daily briefing juu ya yanayoendelea nchini ?
And remember first rule of leadership here "every thing is JK fault "
we cant act like all thats happening in TZ is whats in headlines..Kuna matatizo mengi,ajali, vifo n.k in all parts of the country, hii sio baby-day-care State tunalia the President anakula kuku watu wanakufa kama vile kuna propoortionality ya ulaji wake wa Chicken na vifo...
we WHINE too much...I say Ngereja should go there Now....lets all call HMM..
+ 255-787-603-535
We'll know kama halishughulikii kabisa, Ngereja may need the Headline..Yaani, hata El Ninho ikimwaga mvua machimbo is JK Fault??